bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,456
- 12,666
Nimeamua kutoboa siri kazi kwenu, nyie wanawake mu watu wa ajabu sana, utakuta mdada kahamishia ofisi, kitanda, jiko na dressing table yake kwenye mitandai ya kijamii.
Hasa instagram, facebook, tweeter, badoo, jamii forum na social media nyingine.
Kila kona unayo katiza ukosi kapost kitu chake, hasa picture zenye pozi za kutatanisha, misemo yenye ushangingi fulani na kila aina ya vitimbwi na vibweka chungu mbovu
Akifika kwako anajifanya malaika huku akikuona boya fulani, sasa iko hivi boys are more intelligent than you girls shutuka aisei kwa smart man lazima akuspy unafanyaga nini kwa social networks kama hamjui wengi mumeachwa na kubaki midomo wazi huku mkibaki mnalaani hooh ameniacha bila sababu na kulalama kwa mashoga zenu poor you girls.
Addicted social network girls ni ngumu kupatq smart man kiukweli wanaume msituone mtaandaoni tuko very trick wengi wetu tuko huku kujifunza nini wanawake mnafanya huku ili kutusaidia kufanya best choice.
LOOK VERY GIRLS YOU WILL GO WITH WATER..!
Unataka kuolewa mdada badirika katika matumizi ya social networks siyo kila kitu wewe unachangia inatuboa sana sisi wanaume na hatupendi mwanamke mwenye umaarufu wa mitandao.
MWENYE MASIKIO NA ASKIE AJALENGWA MTU MAHUSUSI UKIGUSWA SIYO MBAYA PIA..
Hasa instagram, facebook, tweeter, badoo, jamii forum na social media nyingine.
Kila kona unayo katiza ukosi kapost kitu chake, hasa picture zenye pozi za kutatanisha, misemo yenye ushangingi fulani na kila aina ya vitimbwi na vibweka chungu mbovu
Akifika kwako anajifanya malaika huku akikuona boya fulani, sasa iko hivi boys are more intelligent than you girls shutuka aisei kwa smart man lazima akuspy unafanyaga nini kwa social networks kama hamjui wengi mumeachwa na kubaki midomo wazi huku mkibaki mnalaani hooh ameniacha bila sababu na kulalama kwa mashoga zenu poor you girls.
Addicted social network girls ni ngumu kupatq smart man kiukweli wanaume msituone mtaandaoni tuko very trick wengi wetu tuko huku kujifunza nini wanawake mnafanya huku ili kutusaidia kufanya best choice.
LOOK VERY GIRLS YOU WILL GO WITH WATER..!
Unataka kuolewa mdada badirika katika matumizi ya social networks siyo kila kitu wewe unachangia inatuboa sana sisi wanaume na hatupendi mwanamke mwenye umaarufu wa mitandao.
MWENYE MASIKIO NA ASKIE AJALENGWA MTU MAHUSUSI UKIGUSWA SIYO MBAYA PIA..