Kila nikijaribu ninashindwa kumsamehe Tundu Lissu

Kijogoodi

JF-Expert Member
Mar 29, 2021
1,363
2,372
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.

Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!

Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?

Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
 
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.
Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!
Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?
Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
Wewe unayeza kumsamehe ni boss wa wasiojulikana. Huyo SII size Yako kwani kwa uwezo was Mungu walimshindwa .
 
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.

Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!

Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?

Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
Kwani huyo uliyemtaja amebadili nini chenye manufaa kwa tz. Yeye aliiamini kamati ya Muroso kama sijakosea. Je ni jambo gn limefanyika kutoka kwa mapendekezo ya ile kamati ambayo huyo uliyemraja kafata ya nini kimeleta tija?!?!
 
ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!
Nilisoma mpaka hapa nikaacha, mbona mnapotosha kwa faida ya nani? Alisema kukamata makontena ndio italeta mzozo na MIGA sababu mkataba unakataza expropriation ya investor property.

Ndio Lissu akashauri kuwa lazima tubadili sheria kabla ya kukamata makontena n.k na ndio kilichofanyika sheria zilitungwa kwa siku 3 hivi na kupitishwa kwa hati ya dharura sasa ni wapi alikosea?

Kuna watu siasa zime wa brainwash
 
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.

Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!

Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?

Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
chuki uliyonayo kwa Lisu imekusaidia nini katika maisha yako? in the end wewe mbeba chuki ndiye una mzigo moyoni.
 
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.

Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!

Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?

Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
Kosa lake hapo ni lipi?
 
Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia?
Lissu si alishafungwa huko Nyamongo na kuchaniwa nguo hadharani kisa kupambana na hao wezi wa madini!! Kipindi hiko JPM anapiga makofi bungeni baada ya mikataba ya kifisadi kusainiwa.

Then leo hii Lissu ndio alikua upande wa Acacia? Weka hiyo clip Lissu anayowatetea Acacia kuwa wanaonewa? Lissu alishangaa hadi VP wa Acacia anagombea ubunge makambako ilihali JPM alidai ndio alikua anatusaliti waafrika!!! Then leo hii Lissu ndio awe villain na JPM ndio hero??

Hampo serious
 
Nilisoma mpaka hapa nikaacha, mbona mnapotosha kwa faida ya nani? Alisema kukamata makontena ndio italeta mzozo na MIGA sababu mkataba unakataza expropriation ya investor property.

Ndio Lissu akashauri kuwa lazima tubadili sheria kabla ya kukamata makontena n.k na ndio kilichofanyika sheria zilitungwa kwa siku 3 hivi na kupitishwa kwa hati ya dharura sasa ni wapi alikosea?

Kuna watu siasa zime wa brainwash
Wewe ndiyo unapotosha kabisa, makontena yalikaa miaka 2 bandarini na hatujashitakiwa MIGA
 
Mimi nilikuwa Chadema kindaki ndaki na nilishiriki kumchagua Tundu Lisu kwenye ubunge mwaka 2015 kwa sababu mimi ni mkazi wa Ikungi.

Ikumbukwe Chadema ilibadilika na kuanza kutetea mafisadi mara baada ya Lowasa kujiunga na chama na ikapelekea Tundu Lisu akaunda ubia na kampuni ya madini ya Acacia na akatangaza kuwa ikitokea Magufuli amebadilisha sheria za madini basi Tanzania itashitakiwa MIGA!

Tundu Lisu alisoma kwa kodi za watanzania ilikuwaje akawa upande wa kutetea Acacia? Hivi ingekuwaje kama hayati Magufuli angefuata ushauri wa Lisu na kuacha watanzania waendelee kunyonywa?

Huu unafiki wa wasomi wa Tanzania kusaliti wenzao na kutetea wazungu utakoma lini?
Ndio umeandika nini sasa? Hata hueleweki, umsamehe wewe ni Mungu? Mwenyezi Mungu alitosha kumponya toka risasi 16 za mashetani Kama wewe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tundu la kisu ni mmoja wa wasomi na wanasiasa wa hovyo nchini Tanzania. jamaa hana huruma na nchi yake including wananchi wake, ndio maana alitaka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili watanzania washindwe hata kufanya biashara ya nje kwa lengo la kujitafutia riziki zao. Sema nilichofurahi ni pale mbeleji huyo alipokuja na mbwembwe nyingi nchini akitegemea kuwa angewalaghai watanzania na kusahau alichowafanyia. Sasa watanzania nao wakakataa kulaghaiwa na kumsusia mikutano yake na genge lake. Pia wakaendelea kumuadhibu kwa kukataa kukipigia kura chama chake nk. Jamaa kwa aibu akakimbilia Ulaya kwa kisingizio cha kuuwawa.

images (14).jpeg


images (13).jpeg
 
Back
Top Bottom