naina19
JF-Expert Member
- Oct 8, 2019
- 294
- 510
Wanaume waliokua wanataka watoto mnapoacha bado wapo kweli!!?Mie mwanaume aniache tu watoto wangu simpi acha nife nao.
Wanaume waliokua wanataka watoto mnapoacha bado wapo kweli!!?Mie mwanaume aniache tu watoto wangu simpi acha nife nao.
Upumbavu wa vijana ambao hawajavepuka ndo huu sasaNilikuwa nimepanga Nyumba ya vyumba 3 yenye sitting room Kubwa dining room na jiko. Chumba changu kilkuwa chumba kweli kweli. Kitanda 6*6, kabati Kubwa la Nguo, carpet Kali sana la manyoya, na vikorokoro kibao. kusema ukweli chumba changu kilikuwa chumba kweli kweli
we kiazi Agera 1: umeisoma story lkn .....au ndo dish lako limeyumba?! Nyau wwUpumbavu wa vijana ambao hawajavepuka ndo huu sasa
🐱🐶🐯🐶🐱🐶we kiazi Agera 1: umeisoma story lkn .....au ndo dish lako limeyumba?! Nyau ww
Nyie ni majini. Tena majini makata na subhian. Yaani mnamtetea jini mwenzenu bila aibu.Kusema ukweli wewe ndiye chanzo cha matatizo na uone aibu kulalamika. "Unamla demu kiaina, sijui kipoozeo" shiiit. Ulitaka yeye afurahi kwa wewe kukosa uaminifu?.
Watu wengi hufanya makosa makubwa halafu wanataka wenza wao wayachukulie kawaida na wawapende kama mwanzo haifai.
Sahau hyo ng'ombe kabisa. Na siku ueleze watoto uhalisia wataamua wenyewe.Msamehe tu uwe huru moyoni mwako hata hivo s ushaamua kuendelea na maisha yako sasa kinachoufanya ushindwe kuwasamehe ni nn??
Acha dunia iwafunze barabara ww lea wanao tu wakikua watamtafta mama yao wakipenda lakini wasamehe