Kila nikifungulia redio na kuwasha Tv nakutana na matangazo ya michezo ya #Kamari

DALA

JF-Expert Member
Aug 24, 2009
2,212
4,517
Aisee,

Sijui mimi ndo mshamba au ndo sijielewi. Vyombo vyetu vya habari vinahamasisha michezo ya bahati na aibu kila baada ya dakika kadhaa, ni kero kwa kwenda mbele.

Hivi Kwanini serikali zetu zinaruhusu jamii kupotezwa kiasi hiki, au kwa serikali muhimu makampuni yalipe kodi hata kama jamii inaangamia?

Wanabodi hii imekaaje?
 
Muulize muasisi wa hii michezo aka jiwe sijui utamkuta wapi? Aliua ajira ili tucheze kamali, akuongeza mishara ila ilibidi tucheze kamali ili kujiongezea kipato. Wacha tuendelee kufanya gambling
 
Muulize muasisi wa hii michezo aka jiwe sijui utamkuta wapi? Aliua ajira ili tucheze kamali, akuongeza mishara ila ilibidi tucheze kamali ili kujiongezea kipato. Wacha tuendelee kufanya gambling

Mkuu, taifa linaangamia
 
Aisee,

Sijui mimi ndo mshamba au ndo sijielewi. Vyombo vyetu vya habari vinahamasisha michezo ya bahati na aibu kila baada ya dakika kadhaa, ni kero kwa kwenda mbele.

Hivi Kwanini serikali zetu zinaruhusu jamii kupotezwa kiasi hiki, au kwa serikali muhimu makampuni yalipe kodi hata kama jamii inaangamia?

Wanabodi hii imekaaje?
Ni michezo ya kubahatisha we hutaki tujaribu bahati zetu?
 
Noma sana mkuu na kuna ile nyngne wanaochezesha E fm redio eti kila siku na kila kipindi wanatoa milioni moja na mara laki tano asee inafikirisha sana huu kitu

Kila kipindi kinahamasisha hii michezo aseee
 
imagine, yanga akiwa na odd ya 1.78 ukaweka stake ya laki kwamba ashinde, na akashinda unapata elf sabini na nane kama faida, na laki yako inarudi. hii ndio sababu
 
imagine, yanga akiwa na odd ya 1.78 ukaweka stake ya laki kwamba ashinde, na akashinda unapata elf sabini na nane kama faida, na laki yako inarudi. hii ndio sababu
Na vipi ikitokea mkeka umechanika na hiyo hela ilikuwa ya ngama🤔
 
Hii michezo inalea uvivu na haina faida kwa jamii
Hatuwezi kuizuia kwa sababu inachangia kiasi kikubwa kwenye kodi..na ndio maana mnaambiwa inaruhusiwa kwa watu wenye umri wa miaka 18 au zaidi..cheza kistaarabu..hakuna anayelazimishwa.
 
Hatuwezi kuizuia kwa sababu inachangia kiasi kikubwa kwenye kodi..na ndio maana mnaambiwa inaruhusiwa kwa watu wenye umri wa miaka 18 au zaidi..cheza kistaarabu..hakuna anayelazimishwa.

Basi ngoja tuangalie mechi inavyokwenda
 
Back
Top Bottom