1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
- Thread starter
- #461
pole mkuuMi sa ivi naumwa coz nilipga gym nikaacha
pole mkuuMi sa ivi naumwa coz nilipga gym nikaacha
Asantepole mkuu
Endelea kupiga gym,Mi sa ivi naumwa coz nilipga gym nikaacha
Endelea kufanya mazoezi Mkuu,siku 10 zimekatika tangu nianze mazoezi,, najiona mkakamavu na shupavu wa hali ya juu,,, naona mwili umeanza kukatika katika,, shukrani wakuu kwa mawazo,, nimeamini dhamira hujenga tabia,,
sasa niko fireee,Endelea kufanya mazoezi Mkuu,
Mwanzo huwa mgumu
siwezi kuacha mkuu, niko FireeeeEndelea kufanya mazoezi Mkuu,
Mwanzo huwa mgumu
hii shule Bungo?BIDII HUSHINDA YOTE "school motto wa shule flani hivi" ...huwa ninai-apply katika maisha yangu ya kila siku kwamba kinachotakiwa ni BIDII BIDII BIDII hakuna kingine
hapana , niko fire sasa,, usijali tuko pamojaUnaanzaje kuwa goi goi hivyo mtoto wa kiume?...au mwanaume wa dar?
Nia tu. Ukiwa na nia na malengo utaamka mwenyewe kwenda zoezi. Mimi nilikuwa nauchukia ubonge nikatamani kupungua, nikafanya diet za kila aina lkn sikuona matokeo zaidi sana mwili unakuwa dhaifuWazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?
MAZOEZI NI AFYA
shukrani sanaa,, hivi sasa nakaribia kumaliza mwezi mmoja tokea nianze mazoezi,,Nia tu. Ukiwa na nia na malengo utaamka mwenyewe kwenda zoezi. Mimi nilikuwa nauchukia ubonge nikatamani kupungua, nikafanya diet za kila aina lkn sikuona matokeo zaidi sana mwili unakuwa dhaifu
Nikakata shauri kwenda uwanjan kwnye mazoezi, mwanzon niliona shida mwili unauma lkn kila nikiuwaza ubonge naamka mwenyewe kwenda uwanjani. Nilipoanza kuona faida ya mazoezi tu, nikawa muaminifu, never miss hadi mwalim alishangaa, nikawa balozi sasa. Mpaka leo japo kwa sasa nipo safari lkn nimekuwa na mwili wa wastani tofauti na mwanzo.
So ukiweka nia hutaacha
Mazoezi mazuri sana, na ukiyafanya kama sehemu ya maisha yako ya kila siku hutatamani kuacha, ukitega unaona kabisa siku haiko sawa..shukrani sanaa,, hivi sasa nakaribia kumaliza mwezi mmoja tokea nianze mazoezi,,
na nimejiona niko vzur tofaut na mwanzoni,
nikikosa siku moja nahisi kuna kitu kinapungua, niko very seriouz tofaut na mwanzo,,
shukranMazoezi mazuri sana, na ukiyafanya kama sehemu ya maisha yako ya kila siku hutatamani kuacha, ukitega unaona kabisa siku haiko sawa..
Hongera kaza buti
OK OK mkuuhapana , niko fire sasa,, usijali tuko pamoja
..............aisee nimekata siku 23 tokea nianze mazoez,
@Sesten Zakazaka..............
@Sesten Zakazaka
Naam naam, mkuu, ndiye mimi@Sesten Zakazaka