Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Hahahaha. Angalia usianguke Swahiba.
Hahahaha. Angalia usianguke Swahiba.
Huku kijijini hayo mnayoita "mazoezi ya kitandani" ni kama kujinyoosha tu. Bado silewi unaposema umehamishia mazoezi kitandani kijana mdogo damu inachemka!.Mimi nikifanya siku mbili nasema ngoja nipumzike moja nikipumzika moja ndio kama zotee yani now nimehamisha mazoezi kitandani na nimeshaongeza wapinzani kikubwa jasho linitoke.
tatizo kubwa hiloNilikua najua anytime atamtoa Jesus aingie Firmino, na tatizo jingine la Brazil kutokua na namba tisa wa asili kama walivyokua kina de Lima na Romario wa miaka hiyo inawagharimu sana
hahaha na kile kibao cha nazi sidhan kama kinakutosha,,ukisikia Matani ndio haya jamaani lol.
Ila umejua kunichekesha Wallah vile.
Hahahahahahaha...weh kiumbe umenifanya nimecheka kwa sauti kubwa huku...hahahahaa
hii game tyt kishenzDah! Belgium sijui kama nitaweza....Ufaransa walitupiga 98 hawa wametutoa 2018, ngoja niingie nikiwa neutral tu wote hao si watu wazuri
hapana mi si mchokoz nimesema ukweliHahahaaa. Ila we mchokozi lol.
Hahahaha..huyu mkorofi kwelikweli
Amejua kutuchekesha jamani..hahahaa..jf idumu milele
eeeeh ehhhh, umejiona eeeh! huo ndio ufundi wa Allah,, kile kitanda 4 kwa 5 huenei kabisaaa ,,, hata yutong 2 by 3 huwez kusafiri kwa aman labda ile 2 by 2Idumu jamaani maana kuna sehemu anasema mie navaa khanga mbili mbili nikajikuta najiangalia kisha nikacheka lol.
Jf idumu idumu sababu kama kucheka tunacheka hasaaaa.
huyo akitangulia mbele ni bora nikbadirisha njia kama nina swaumIla uje kwenye mazoezi uweke mambo sawa watu wasipige mluzi
eeeeh eeeeehYani humu kunanipaga raha sana..kuna wakati unakutana na comment humu unajikuta tu unacheka kama umekaa na mtu pembeni huishia kukushangaa tu
hahahaMie huwa inanitokea sana yaani hadi wameshanizowea ninaokuwa nao karibu sababu naweza cheka hasaaa.
Kisha nawaambia Mitandao hii huwa inavichekesho mnoo
kabisaaaJF ni stress free zone, hata ukija nazo utaziacha mlangoni yna4, maisha yenyewe ndio hayahaya shangweka tu
jaman huu mzani nauonea huruma,, labda akapime ile mizani ya mashineni, katapasuka kamzani ka chingaMmmmh! Hiyo kesho wala haifiki, njooni kwanza na Hajar mpime uzito halafu tujue tuanze na zoezi lipi la haraka
watapasua, kama ndio nawapina wallah nagairi, nawapeleka mashineniHii mizani sijui itasalimika mtakapoitandia kupima kilo! Nawaza mwenyewe kwa sauti tu hapa
we unazungumzia swala swala,, yule mufti anayepga adhana,, huwa namsikiaga lakini haya masikio sijui veeeper eeeh Mola nisameheHata maombi ya alfajili nayo ni shida hivyo hivyo kwangu
macho vepeee
pole mkuuu hukuweka alamUmenikumbusha mbali sana kiongozi kuna siku moja nilipiga round nyingi nikalala bila kula, sitosahau siku ile, usingizi ulikata ghafla saa 11 alifajiri nikahisi kama tumbo limekatwa then limepakwa pilipili ilikuwa ni bonge ya njaa zaidi ya 1987 nilifungua friji nikachukua mkate mkubwa ndani ya dk 5 umeishia tumboni na maji ya kutosha..