Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Mimi nitoe uzoefu wangu, nilifanya harusi yangu na niliiandaa kwa mwezi mmoja na nusu. Hata mimi initially nilikuwa naogopa hivihivi. Nilikuwa nimepanga kuandaa harusi ya 8mill lakini nikachangisha hela ikafikia 4mill, hivyo bajeti hii ya 4m iliniwezesha kufanya harusi DSM magari ya maharusi, na wazazi rafiki alijitolea yalikuwa magari 3. Mengine yalitoka ndani ya hiihii m4.
Matokeo yake nilitumia hii bajeti na nikabakiwa na salio ya laki5. Mimi mwenyewe nilishangaa.
Lakini haya yote yanawezekana ikiwa kamati ipo committed na haipendi anasa.
Wife na matron pamoja na saloon na mades walitumia laki4, mimi na best man tulitumia lak6, wazazi niliwambia wajitegemee coz hata mchango wao niliwatolea. Kwa hiyo waweza ona ukijumlisha zote hizo utapata almost 8m kwa kila kitu. Make it simple and don't complicate. Oa usiogope gharama wewe ndo unaamua harusi iweje.
Matokeo yake nilitumia hii bajeti na nikabakiwa na salio ya laki5. Mimi mwenyewe nilishangaa.
Lakini haya yote yanawezekana ikiwa kamati ipo committed na haipendi anasa.
Wife na matron pamoja na saloon na mades walitumia laki4, mimi na best man tulitumia lak6, wazazi niliwambia wajitegemee coz hata mchango wao niliwatolea. Kwa hiyo waweza ona ukijumlisha zote hizo utapata almost 8m kwa kila kitu. Make it simple and don't complicate. Oa usiogope gharama wewe ndo unaamua harusi iweje.