Kila niki-cheat ananiambia ameota ndoto kuwa nina Mwanamke mwingne

The Conscious

JF-Expert Member
Mar 18, 2021
459
700
Kama title inavyojieleza wakuu,

Nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda Japo csijui ni kwa kiacsi gani kwasababu kila mtu na moyo wake.

Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj ku-cheat ili kukidhi mahitaji but kila nkifanya hivyo manzi wangu ananiambia kuwa ameota ndoto kuwa nina mwanamke mwingine na ameniuliza kuhusu hilo na nimekataaa kata kata kwenye ndoto na hata alivokuja kuniambi katika uhalisia nilikataa pia.

Hii inawez kumaanisha nini? Maana mimi nimewaza nimeshindwa kuelewa na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile ninachokifanya.
 
Kwa uzoefu wangu huyo atakuwa ana jini mahaba!!hayo yalishanikuta miye!!siku moja nilikuwa nimesafiri nikakutana na classmate wangu, tukafanya matusi bwana weee asubuhi tu nawasha simu nikutana na kilio, cha kunituhumu!!nikabishaaa weee!!lakini kila nikifanya lazima aniambie!!niliwaza mengi sana!!ila siku moja nilichezea kibao hicho nikajua kabisa hicho sio cha mwanamke, kwani ni kama cha mchoma mikaaa, nikajiongeza kuhisi ni nini, ila badaye nikajua ukweli baada ya kuniambia mwenyewe!!!ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yetu na bahati nzuri nikahama kabisaa mkoa.
 
Kama title inavyojielez wakuu
Nina mpenz wang nampenda san nae ananipenda Japo cjui ni kwa kiac gan kwasabab kila mtu na moyo wake
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj kucheat il kukidh mahitaj but kila nkifany ivy manz ang ananiambia kuwa ameota ndot kuwa nna mwanamk mwngne na ameniuliz kuhus hilo na nmekataaa kata kata kwenye ndoto na hata Alivokuja kuniamb katka uhalisia nilikataa pia
Hii inawez kumaanisha nn coz mm nmewaz nmeshindw kuelew na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile nnachokifanya.
Kifuatacho ni fumanizi, it happens kuota ndoto especially kama upo mwaminifu kwa mpenzi halagu yeye sio mwaminifu, imewahi kunitokea mara nyingi na the last one nilimfuma, haikua live lakini ni kama tu Mungu alimtia upofu akajichanganya alarudi nyumbani na kitu ambacho kilikua evidencw na hakuwa na ubavu wa kubisha
 
Kama title inavyojielez wakuu
Nina mpenz wang nampenda san nae ananipenda Japo cjui ni kwa kiac gan kwasabab kila mtu na moyo wake
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj kucheat il kukidh mahitaj but kila nkifany ivy manz ang ananiambia kuwa ameota ndot kuwa nna mwanamk mwngne na ameniuliz kuhus hilo na nmekataaa kata kata kwenye ndoto na hata Alivokuja kuniamb katka uhalisia nilikataa pia
Hii inawez kumaanisha nn coz mm nmewaz nmeshindw kuelew na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile nnachokifanya.
Ana majini huyo mtu
 
Kama title inavyojielez wakuu
Nina mpenz wang nampenda san nae ananipenda Japo cjui ni kwa kiac gan kwasabab kila mtu na moyo wake
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj kucheat il kukidh mahitaj but kila nkifany ivy manz ang ananiambia kuwa ameota ndot kuwa nna mwanamk mwngne na ameniuliz kuhus hilo na nmekataaa kata kata kwenye ndoto na hata Alivokuja kuniamb katka uhalisia nilikataa pia
Hii inawez kumaanisha nn coz mm nmewaz nmeshindw kuelew na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile nnachokifanya.
Unadate na mlokole mzeee tulizana shauri yako
 
Kwa uzoefu wangu huyo atakuwa ana jini mahaba!!hayo yalishanikuta miye!!siku moja nilikuwa nimesafiri nikakutana na classmate wangu, tukafanya matusi bwana weee asubuhi tu nawasha simu nikutana na kilio, cha kunituhumu!!nikabishaaa weee!!lakini kila nikifanya lazima aniambie!!niliwaza mengi sana!!ila siku moja nilichezea kibao hicho nikajua kabisa hicho sio cha mwanamke, kwani ni kama cha mchoma mikaaa, nikajiongeza kuhisi ni nini, ila badaye nikajua ukweli baada ya kuniambia mwenyewe!!!ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yetu na bahati nzuri nikahama kabisaa mkoa.
Si kweli mkuu,tunatofautiana sana sisi bibadamu,mke wangu aliwahi kufanya haya mambo kwa kificho akawa anawasiliana na mtu kwa siri,bila ya Mimi kujua,mwisho Wa siku nilimtajia hadi Namba anayowasiliana nayo.Na huyo jini unayemsema sina,hii ilikuwa kupitia ndoto,

Binafsi ukinimbia kitu chochote chenye kunihusu lazima niote ndoto na kupata mwongozo kupitia ndoto.kuna kaka Yangu pia huwa ni mtu muhimu sana kwangu,ikiwa kuna jambo lolote baya /zuri dhidi yangu lazima aote na anijulishe, namimi ni hivyo hivyo juu yake.

Ndoto ukizifatilia zina ujumbe mahsusi,kama wewe huoti ndoto basi pole sana,
 
Kifuatacho ni fumanizi, it happens kuota ndoto especially kama upo mwaminifu kwa mpenzi halagu yeye sio mwaminifu, imewahi kunitokea mara nyingi na the last one nilimfuma, haikua live lakini ni kama tu Mungu alimtia upofu akajichanganya alarudi nyumbani na kitu ambacho kilikua evidencw na hakuwa na ubavu wa kubisha
Ukiwa mtu wa wasiwasi kila mda kwamba mpenzi wako huenda anachiti, kuna uwezekano mkubwa ukaota hivyo usiku.

Sasa ikitokea akawa anachiti kweli ndio hapo unamfumania na ndoto zako zinakua zimetimia. Mi nakushauri uache kuwa na wasiwasi na mpenzi wako ili usije ukamfumania.
 
Kifuatacho ni fumanizi, it happens kuota ndoto especially kama upo mwaminifu kwa mpenzi halagu yeye sio mwaminifu, imewahi kunitokea mara nyingi na the last one nilimfuma, haikua live lakini ni kama tu Mungu alimtia upofu akajichanganya alarudi nyumbani na kitu ambacho kilikua evidencw na hakuwa na ubavu wa kubisha
Eeehh jameni
 
Una mpenzi wako mnapendana sana na 'mnadinyana' pia...hadi hapa huu tayari ni uzinzi...

Halafu una michepuko yako kadhaa unayoitolea hamu...huu nao ni uzinzi kama unaofanya tu na mpenzi wako...

Hivyo usiwe na wasiwasi, unaogelea kwenye bahari ile ile tu, unachobadili ni fukwe tu
 
Ukiwa mtu wa wasiwasi kila mda kwamba mpenzi wako huenda anachiti, kuna uwezekano mkubwa ukaota hivyo usiku.

Sasa ikitokea akawa anachiti kweli ndio hapo unamfumania na ndoto zako zinakua zimetimia. Mi nakushauri uache kuwa na wasiwasi na mpenzi wako ili usije ukamfumania.
Hakuna wasiwasi, dunia hii imejaa wanaume wa kila aina uanze kuwa na wasiwasi na jitu moja, dreams.are sometimes true, we should not ignore them
 
Ndoto ukizifatilia zina ujumbe mahsusi,kama wewe huoti ndoto basi pole sana,
Mimi mara nyingi hua naota vice versa. Mfano kama kuna demu namfukuzia, nikiota nimemtafuna tu basi ujue sitampata kamwe bora tu niache. Ila nisipomuota au nikiota kanipiga cha mbavu basi lazima ntapewa mzigo!

Kama kuna hela naisikilizia nikiota nimelipwa tu, basi ujue hiyo hela sitaipata maisha. Imefika mahali kama kuna mgonjwa nikiota amepona naanza kuhesabu siku 😪
 
Yan hapo hakuna cha kudhani wala nin,huyo kakuwekea dawa na anapata taarifa kuhusu.

Mimi ilinitokea nilikua nauza duka,kila nikila kitu nisichoruhusiwa asubuhi naambiwa na boss,siku alifata mzigo tulikuwa wafanyakazi kaz wawili, kiukweli jamaa ndio alikua ananishawishi,tukaiba bia 1 kila mtu.

Usiku boss hakurud na mzigo na si kawaida yake,tumelala usiku asubuhi kaniambia "kaniota kuwa namwibia,hata kama sio maamuzi yangu kuna mtu ananidanganya" asee niliwaza siku nzima kuja kurudsha akili nyuma nikagundua ni mtu wa kwa waganga yan amezindika biashara yake.

Kwa hiyo boss mkataze mkeo aachane na mambo ya waganga hamtafika mbali,na ww uwe mwaminifu kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom