Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ndugu wana Jf nimeona nianze kwa kusema hili hapo kwenye thread ili niweze kueleweka vyema
Kama ilivyo kwa watu,wanyama na mimea hata CCM nayo ni lazima itaonja mauti,mauti ya ccm ni mauti makubwa kwani haya mauti yanaonekana kujumuisha na watu ambao ni makada na viongozi wa chama mfano ni akina Sokoine,Chifupa na sasa naona mshale umeelekezwa kwa Mwakyembe,vifo hivi ndo alama ya mauti ya ccm,kifo cha ccm kinaitimishwa na vifo vya watu wake
NB:Mie siyo mrithi wa sheikh Yahaya ila nimeongea kwa kutumia reasoning yangu.
Kama ilivyo kwa watu,wanyama na mimea hata CCM nayo ni lazima itaonja mauti,mauti ya ccm ni mauti makubwa kwani haya mauti yanaonekana kujumuisha na watu ambao ni makada na viongozi wa chama mfano ni akina Sokoine,Chifupa na sasa naona mshale umeelekezwa kwa Mwakyembe,vifo hivi ndo alama ya mauti ya ccm,kifo cha ccm kinaitimishwa na vifo vya watu wake
NB:Mie siyo mrithi wa sheikh Yahaya ila nimeongea kwa kutumia reasoning yangu.