Kila nafsi itaonja mauti

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Ndugu wana Jf nimeona nianze kwa kusema hili hapo kwenye thread ili niweze kueleweka vyema

Kama ilivyo kwa watu,wanyama na mimea hata CCM nayo ni lazima itaonja mauti,mauti ya ccm ni mauti makubwa kwani haya mauti yanaonekana kujumuisha na watu ambao ni makada na viongozi wa chama mfano ni akina Sokoine,Chifupa na sasa naona mshale umeelekezwa kwa Mwakyembe,vifo hivi ndo alama ya mauti ya ccm,kifo cha ccm kinaitimishwa na vifo vya watu wake

NB:Mie siyo mrithi wa sheikh Yahaya ila nimeongea kwa kutumia reasoning yangu.
 
KIFO kikumbe ccm na sio mwakyembe wala mwandosya, MUngu ajalala na wala ajaamua. Tusiwachurie wenzetu kwani hata sisi tu safarini
 
hakuna jambo baya kama kugombana na mtu , lakini mbeleni akaja kujikwaa basi ujue gharama za kujikwaa kwake unaweza kubebeshwa wewe
 
Eeeeeh kyara, utupele, mwakyembe na mwandosya uwape afya njema watu hawa bado tunawahitaji, uwalinde na nguvu zote zinazowatafuta na zilizopandikizwa na wenye chuki dhidi yao, wakapate kuaibika! Kyara atufigwe ! Amen.
 
Rwenye: Ashkhum nisahihishe kidogo kiswahili chetu, kuonja ni KITENDO cha kuchukua kiasi kidogo sana cha umbo kubwa, ili kupata uwakilishi wa umbo zima. Kuonja ni kama kugusa kidogo tu ili upate habari ya kuelezea au kujiridhisha na umbo. mfano kuonja chakula upate ladha, viungo na chumvi. kuonja chai, mchuzi n.k, kuonja kazi, unakwenda kazini only few hours, ukiona msoto mkubwa unaondoka. tunasema huyo ameonja kazi. kwa hivyo unavyosema Kila nafsi Itaonja mauti nadhani si sahihi, kwamba itaingia mautini kidogo tu na kutoka. mie nadhani ingepaswa isahihishwe iwe KILA NAFSI ITAKUFA.
 
Mh mie napita kwa sasa.Nitazuka baadaye kwa kweli .Ila nawaombea afya njema hawa watu wa Mungu lakini wako na kundi lao la mafisadi .
 
Ndugu wana Jf nimeona nianze kwa kusema hili hapo kwenye thread ili niweze kueleweka vyema

Kama ilivyo kwa watu,wanyama na mimea hata CCM nayo ni lazima itaonja mauti,mauti ya ccm ni mauti makubwa kwani haya mauti yanaonekana kujumuisha na watu ambao ni makada na viongozi wa chama mfano ni akina Sokoine,Chifupa na sasa naona mshale umeelekezwa kwa Mwakyembe,vifo hivi ndo alama ya mauti ya ccm,kifo cha ccm kinaitimishwa na vifo vya watu wake

NB:Mie siyo mrithi wa sheikh Yahaya ila nimeongea kwa kutumia reasoning yangu.

Sasa unamaanisha nini?
 
Rwenye: Ashkhum nisahihishe kidogo kiswahili chetu, kuonja ni KITENDO cha kuchukua kiasi kidogo sana cha umbo kubwa, ili kupata uwakilishi wa umbo zima. Kuonja ni kama kugusa kidogo tu ili upate habari ya kuelezea au kujiridhisha na umbo. mfano kuonja chakula upate ladha, viungo na chumvi. kuonja chai, mchuzi n.k, kuonja kazi, unakwenda kazini only few hours, ukiona msoto mkubwa unaondoka. tunasema huyo ameonja kazi. kwa hivyo unavyosema Kila nafsi Itaonja mauti nadhani si sahihi, kwamba itaingia mautini kidogo tu na kutoka. mie nadhani ingepaswa isahihishwe iwe KILA NAFSI ITAKUFA.

''KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI" Ni maneno ya mwenye enzi mungu kwa maana ya aya katika kitabu kitakatifu cha QURAN na kwa hivyo si sahihi kwa mwanadamu yeyote kusahihisha aya ya MUUMBA!
 
Nadhani si sawa ku PREDICT kifo cha mtu jamani!kusema unaona mshale umeelekezwa kwa Mwakyembe ni kumchulia kifo bure.Cha msingi tumuombee apone na arejee kuungana nasi tena.
 
''KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI" Ni maneno ya mwenye enzi mungu kwa maana ya aya katika kitabu kitakatifu cha QURAN na kwa hivyo si sahihi kwa mwanadamu yeyote kusahihisha aya ya MUUMBA!


Aliye toa mada ameshakosea kutabiri kwa kunukuu kitabu kitakatifu. Mungu anakataza kutabiri kwa jinsi yoyote ile. Acha asahihishwe tu.
Just passing, heh!
 
Back
Top Bottom