Kila Mzee anayefika ofisini kwake anasema mtoto hana adabu

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Mambo ni machungu ktk ofisi fulani maana kila mwenye hekima anapomaliza kuongea na mwenye mtoto anamshauri amtafutie kazi nyingine ila sio hiyo aliyompa.

Kwakweli baba mwenye mtoto anapata shida sana maana wengine wanaomwambia habari za tabia ya mtoto ni watu anawaheshimu sana, kwakweli inauma sana.

Baba ameamua kuomba ushauri; Je, wanampenda nani wengi wanamwambia unaye mpenda hatuwezi kukupangia mambo ya familia yako na wala sio lazima uchukue. Akitafakari wanaomshauri wengi ni wazazi wake anaowaheshimu sana....

Kweli jamani tuheshimu wakubwa otherwise tunawapa shida wazazi wetu pindi wanatutambulisha kwa wageni wake.
 
Mtoto gani huyu? Kwa maoni yangu asiyejua kulea ndiyo mwenye tabia ya mwanae. Ukiona familia yenye watoto wapumbavu na watutuku wenye kufinya wageni ujue ndiyo tabia ya wazazi au wenye nyumba. Mwacheni akaena mwanae lkn anajitengenezea maangamizi yake mwenyewe.
 
Mambo ni machungu ktk ofisi fulani maana kila mwenye hekima anapomaliza kuongea na mwenye mtoto anamshauri amtafutie kazi nyingine ila sio hiyo aliyompa.

Kwakweli baba mwenye mtoto anapata shida sana maana wengine wanaomwambia habari za tabia ya mtoto ni watu anawaheshimu sana, kwakweli inauma sana.

Baba ameamua kuomba ushauri; Je, wanampenda nani wengi wanamwambia unaye mpenda hatuwezi kukupangia mambo ya familia yako na wala sio lazima uchukue. Akitafakari wanaomshauri wengi ni wazazi wake anaowaheshimu sana....

Kweli jamani tuheshimu wakubwa otherwise tunawapa shida wazazi wetu pindi wanatutambulisha kwa wageni wake.
magu- bashite
 
TumainiEl ni wewe au watu wameidandia id yako? Kama ni wewe basi umekua kimtazamo japo siju kimuonekano!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom