Wana JF
Sambamba na maandamano napendekeza kila mwenye uchungu na nchii hii ya Tanzania afanyekazi ya kuwaelewesha watanzania mmojammoja ubaya wa CCM na madhara yake kwa Tanzania nakuhakisha kila wiki unamwelewesha at list mtu mmoja kuhusu ubaya na madhambi ya CCM na mbinu zao zote za Udini,ukabila pamoja nakuwasisitizia umuhimu wa kupiga kura. Mimi sio kiongozi lakini nieanzakufanya kazi hiyo nimeona mafanikio watu wanaelewa sasa japokuwa mwanzoni kunakuwa na kaubishi kidogo baadae wanaelewa. Nimefanya hivyo hasa ninaporudi kijijini na nimewaibua sasa watu watano wanoyoichukia CCM kisawasawa na watano hao mmoja ni ndugu yangu mjumbe wa CCM wa shina. Hii mnaionaje? Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Sambamba na maandamano napendekeza kila mwenye uchungu na nchii hii ya Tanzania afanyekazi ya kuwaelewesha watanzania mmojammoja ubaya wa CCM na madhara yake kwa Tanzania nakuhakisha kila wiki unamwelewesha at list mtu mmoja kuhusu ubaya na madhambi ya CCM na mbinu zao zote za Udini,ukabila pamoja nakuwasisitizia umuhimu wa kupiga kura. Mimi sio kiongozi lakini nieanzakufanya kazi hiyo nimeona mafanikio watu wanaelewa sasa japokuwa mwanzoni kunakuwa na kaubishi kidogo baadae wanaelewa. Nimefanya hivyo hasa ninaporudi kijijini na nimewaibua sasa watu watano wanoyoichukia CCM kisawasawa na watano hao mmoja ni ndugu yangu mjumbe wa CCM wa shina. Hii mnaionaje? Hakuna kulala mpaka kieleweke.