Acha hizo bana, kuna rangi nyeupe ndoo ya lita 20 tzs 30,000 tu.Pesa ziko wapi?? Au mtatugawia hizo rangi bure
mwingine mkubwa wao amepiga marufuku shisha kumuunga mkono yule mdogo....Wanaacha mambo ya msingi kama usafi wanahangaika na mambo ya kipuuzi.
Vituo vya dart vichafu, madaraja watu wanakojoa na kutupa taka ovyo, zahanati hazina vyoo, mitaru unanuka uchafu kisha mtu anakuja eti pakeni rangi? Akiki za kuazima ni shida?
Usafi na unadhifu wa nyumba yako mpaka uwekewe sheria?!!Sheria ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi inasemaje kuhusu hilo swala?
Bosi co kila kitu tunapinga .. Kwa hili nilishaliona mkoa nyumban,tanga zinazolembwa ni zile zilizo pemben ya barabara .. Kwa hili ndugu cjakurupuka kuunga mkonoUkiwaunga mkono wazee wa kukulupuka, utakuwa na wewe umekulupuka
Unagawa wewe hizo rangi au tunanunua? Unajua kipato changu wewe?Kupaka rangi nyumba yako ni sehemu ya usafi.
Wanaacha mambo ya msingi kama usafi wanahangaika na mambo ya kipuuzi.
Vituo vya dart vichafu, madaraja watu wanakojoa na kutupa taka ovyo, zahanati hazina vyoo, mitaru unanuka uchafu kisha mtu anakuja eti pakeni rangi? Akiki za kuazima ni shida?
Nyumba za makuti mkwakwani!!!.Mh....kwa heri.na zile za makuti mitaa ya mkwakwani je?
Kila Mtanzania ana haki ya kuishi popote (eneo halali kwa makazi) bila kujali jinsia yake kipato chake au rangi yakeMbona issue ya aina ya rangi za kupakwa, Nyumba inapopaswa kuelekezwa na mengine mengi mbona ni mambo muhimu kwenye mipango miji. Sasa mnaomlaumu Mkuu wa wilaya ni kwamba hamuelewi au ni kwa kuwa mmezoea kupinga kila kitu? Kama unaishi katikati ya mji na huna uwezo wa kuweka Nyumba yako vizuri basi uza uhamie makabe ukajenge Nyumba nzuri zaidi. Mnaharibu muonekano wa jiji