Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Nimekuambia unipe angalau comment moja tu ambayo wanaume nanyi mnafundana unaleta bla bla..Thread ziko kibao wanaume wanawekana sawa,sasa wewe badala ya kudeal na majukumu yako unataka kuhoji majukumu ya waume
Na hata nikihoji majukumu ya waume,wewe unaumia nini?
Unataka kunipangia cha kuhoji ama? Kwa hiyo wewe unataka ikija thread hapa tuitikie "Aameen"
Kusema ndoa inajengwa na wawili ni mashindano?
Au wewe ndiye unaona uanaume ni ubabeubabe ndani ya nyumba na mwanamke ndiye anayetakiwa anyenyekee ndoa?