Habari zenu ndugu zangu huko nyumbani. nimepigwa na butwaha pale niliposikia mtu maarufu mwanachama makini wa chama cha CCM akikiri mwenyewe kwamba ushindi wanoupata nyakati za chaguzi za marudi sio kipimo halali cha chama chao kukubalika. hapa tulipo Peoria Illinois USA ni saa nne na dakika 44 am tumekutana na huyu baba yetu tukamsalimia mimi na rafiki yangu, sasa akaamua kutuambia ukweli.
Baba yetu bila kusita katuambia mabinti zangu msifikiri kuwa chama cha mapinduzi kinakubalika kupitia matokeo ya chaguzi zote za marudio, ukweli ni kwamba matokeo yote yanalazimishwa kwa nguvu, wala hakuna mwanachama mwenye akili timau anayekubaliana na ushindi huo kuwa ni kipimo cha chama kupendwa ila tu siku inakuja itakayowashangaza watu na kujua kuwa chama chetu kimeharibiwa na hizi sarakasi zinazopigwa ambazo hazionyeshi sura nzuri ya nchi huko tunakoelekea.
Mimi na rafiki yangu tumebaki na mshangao, huku tukitazamana na kuamua kumuaga Baba yetu kutoka nyumbani maana hatujui ya moyoni mwake.
Nawatakia amani na umoja ili nasi tuje tufurahia nchi yetu turudipo nyumbani
We love our country and we always keep her in our daily prayers
Baba yetu bila kusita katuambia mabinti zangu msifikiri kuwa chama cha mapinduzi kinakubalika kupitia matokeo ya chaguzi zote za marudio, ukweli ni kwamba matokeo yote yanalazimishwa kwa nguvu, wala hakuna mwanachama mwenye akili timau anayekubaliana na ushindi huo kuwa ni kipimo cha chama kupendwa ila tu siku inakuja itakayowashangaza watu na kujua kuwa chama chetu kimeharibiwa na hizi sarakasi zinazopigwa ambazo hazionyeshi sura nzuri ya nchi huko tunakoelekea.
Mimi na rafiki yangu tumebaki na mshangao, huku tukitazamana na kuamua kumuaga Baba yetu kutoka nyumbani maana hatujui ya moyoni mwake.
Nawatakia amani na umoja ili nasi tuje tufurahia nchi yetu turudipo nyumbani
We love our country and we always keep her in our daily prayers