Na wewe unashangaza, Ghorofa zinajengwa sehemu zenye uhaba wa ardhi sisi tuna ardhi tele ghorofa la nini kama sio ushamba tu.Mtu unakuta ana eneo la heka kumi halafu anajenga ghorofa ni ushamba uliopitiliza na ulimbukeni.Nashangaa mpaka leo watu wanajenga maboma ya chini badala ya kujenga magorofa na kuacha matoleo juu.
Bado na kampeni ya madawati.Hadi leo tokea uhuru madarasa hayajakamilika kujengwa, hadi inafanyika kampeni ya kujenga madarasa? ni balaa..
Hujajibu swali la mleta mada,...hii ndio shida yenu MATAGA.Nchi zingine wamedhibiti uzazi sisi tunazaliana sana kila mwaka watoto wanaongezeka Ulaya na Marekani ni kinyume ndio maana wanatoa hadi Green Card kwa raia wa nchi zingine kwenda nchini kwao....
Inatokana na agizo la kufyatua viumbeWakuu mliotembea huko Duniani wenzetu wanafanyaje? Maana yake huku kila mwaka mazingira ya Shule madarasa huongezwa na huenda ikafika wakati eneo lote la shule likajaa Madarasa.
Hizi zima moto zina tija kweli?
Aliekwambia ufanisi was kufundisha umeongezeka nani? Acha kusikiliza propaganda za wanasiasa.Kundi la vilaza ni kubwa sana lilinalosukumwa kwenda form one na matokeo ta form two na four huwaumbua.Miaka ya zamani darasa la saba wakimaliza kiwango cha wanaochaguliwa kuingia kidato cha kwanza walikuwa wachache sana.
Pamoja na wanafunzi wengi kufaulu nafasi zilikuwa chache kwa kuwa tuliliwa na shule chache za secondary.
Baada ya kuongeza ufanisi wa kufundisha, kiwango cha ufaulu kimeongezeka na wanaofaulu wanachaguliwa kwenda shule bila kuwa na coordination ya utoshelevu wa madawati na vyumba vya madarasa.
Ipo siku tuta-stabilize; japo nchi hii tuna shida ya uratibu kwa wanaofaulu vs kule wanakopokelewa.
Ni kama sasa, wanafunzi wanakopeshwa fedha kusoma vyuo vikuu.
Je kuna taasisi inaratibu mara baada ya kuhitimu shahada wanaenda wapi ili kutumia akili na nguvu zao kuzalisha na wakati huo wanalipa marejesho ya mkopo wa Elimu.
Ni miaka 35 iliyopita mtu anaehitimu kidato cha nne bila kujali atafaulu vip, alipata kazi kama afisa wa serikali bila hata usaili.
Leo hata masters sio rahisi kupata kazi serikalini.
Private sector ukifika wanataka uzoefu. It a chaos now.
Unless tujenge mfumo jumuishi wa kuratibu mambo kati ya serikali na sekta binafisi; hapo ndio tutatoboa.
Ila tukifanya kazi kwa competition kila mmoja aonekane anafanya kazi bila kujali kule mbele itakuwaje; inakuwa mapema sana hata kabla hatujasheherekea miaka 60 ya uhuru; Rais (mst) JK hana suluhusho la kuwambia vijana wanaohitimu shahada za kwanza UDSM, nini wafanye.
Tutafika lakini kama tutasikilizana na kama kila mmoja hasa walio kwenye mamlaka watakuwa tayari kushirikiana na wengine hata wale walio nje ya "mifumo".
Sio kila suluhisho la Tanzania litatokea huko kwenye "mifumo" ila mifumo ina wajibu kuwa accommodate na wengine wewe sehemu ya suluhu.
Ushauri wa Bure kwa Director Modestus Francis Kipilimba
Kwanza kabisa nakupongeza kwa majukumu mazito ya kuwa sehemu ya Uongozi wa taasisi ambayo kwa sasa wewe ndiyo mtendaji mkuu. Nataka kuamini unashaurika kupitia wanaokufahamu, pia hata na watu usiowafahamu maadamu msingi wa ushauri wao umelenga kwenye uzalendo na ujenzi wa taifa letu Tanzania...www.jamiiforums.com
Ushauri kwa Director Modestus Francis Kipilimba - Part II
Bila shaka kuna mambo napenda kuyaweka wazi kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa kwako Director Kipilimba. Mimi ni Mtanzania najiona nina wajibu wa moja kwa moja kama Mzalendo, ni kufanya lililo jema kwa njia ambayo hata kama sio rasmi. Nina imani wewe kama mhusika utapata ujumbe wangu...www.jamiiforums.com
Niliwahi kushauri kwa public forum, bado nina imani ushauri wangu uko relevant kwa yeyote alie kwenye mamlaka ya kuendesha "mifumo"
Hizo nchi unazotolea mfano zinaidad ya wat wengi kuliko tzNchi zingine wamedhibiti uzazi sisi tunazaliana sana kila mwaka watoto wanaongezeka Ulaya na Marekani ni kinyume ndio maana wanatoa hadi Green Card kwa raia wa nchi zingine kwenda nchini kwao. Sisi kila hatua mbili lazima ukutane na watoto au mama mjamzito au mwenye mtoto mgongoni.
Usilaumu serikali