ningeruhusiwa kumtukan... Ningeridhika kidogo
Yaani nchi hii bana, mtu akiwa waziri wa fedha huwa anajisahau sana, nakumbuka Mramba aliwahi kusema "tupo tayari watanzania wale nyasi lakini ndege ya rais(ya kifisadi) ni lazma inunuliwe"
Waziri wa fedha mustafa mkulo amesema kuwa kila mtu atakula kwa jasho lake,na kuwataka wananch wasitegemee hali ngumu ya uchum waliyonayo kama itaisha,pia amesema serikali haitafuta kodi za mafuta ng'o
Mkullo anapashwa kuwataka radhi watanzania; haiwezekani akatamka maneno kama hayo wakati yeye ndiye aliyepewa dhamana ya kusimamia rasilimali yetu wote, badala ya kuhakikisha rasilimali hiyo inatumika kwa maendeleo ya wote, ametumia sehemu kubwa ya mali hiyo kuwagawia watu wachache, sehemu ya rasilimali iliyosalia ameitumia katika mambo ya anasa, na ako kakiduchu kalikosalia ndiko anataka watu tulio wengi tugawane. Hama budi abanwe kweli kweli atuonyeshe alikoiweka mali yetu.
Mkula nakwambia punguza kodi kwenye mafuta. laa sivyo nitakuona 2015 siyo mbali, tutapambana jimboni kwako.
Halafu watz kuna baadhi vitu havina jinsi kupanda bei, mfano unga,mchele,maharage. Wtz wengi mnang'ang'ania town. Jamani hata kama upo mjini anzisha kimradi angalau cha ekari hata mbili ulime chakula. Tafuta kijana pale kijijini muwezeshe japo ekari 5 theni zako 3 zake mbili. Nadhani kila alie mjini akilima angalau ekari moja tu ya chakul, kisingepanda bei. Lakini wana JF mpo mjini tu the nanai akuzalishie chakula wewe ule tu. Sisi wakulima tukipandisha bei nyie mnalalamikia serikali. wewe unataka wafanyeje kwenye bei ya mchele, au unga, au maharage. tutumie akili zetu wtz kuna baadhi ya bidhaa hasa ya vyakula vyetu ambavyo vingi tunalima wenyewe. Mashamba mengi yapo poli tu hata ukienda hapo karibu na mjini-bonde la mto ruvu -ni pori tu linalalalia. Na ukija huku kwetu moro-ndo kabisa mabinde kibao yanalalia mapori. Tena yanagawiwa na vijiji vyetu.
Mkula nakwambia punguza kodi kwenye mafuta. laa sivyo nitakuona 2015 siyo mbali, tutapambana jimboni kwako.
Halafu watz kuna baadhi vitu havina jinsi kupanda bei, mfano unga,mchele,maharage. Wtz wengi mnang'ang'ania town. Jamani hata kama upo mjini anzisha kimradi angalau cha ekari hata mbili ulime chakula. Tafuta kijana pale kijijini muwezeshe japo ekari 5 theni zako 3 zake mbili. Nadhani kila alie mjini akilima angalau ekari moja tu ya chakul, kisingepanda bei. Lakini wana JF mpo mjini tu the nanai akuzalishie chakula wewe ule tu. Sisi wakulima tukipandisha bei nyie mnalalamikia serikali. wewe unataka wafanyeje kwenye bei ya mchele, au unga, au maharage. tutumie akili zetu wtz kuna baadhi ya bidhaa hasa ya vyakula vyetu ambavyo vingi tunalima wenyewe. Mashamba mengi yapo poli tu hata ukienda hapo karibu na mjini-bonde la mto ruvu -ni pori tu linalalalia. Na ukija huku kwetu moro-ndo kabisa mabinde kibao yanalalia mapori. Tena yanagawiwa na vijiji vyetu.
Ndugu yangu Mkulo ninakujua fika kweli haya maneno unayazungumza leo kweli...!!!!!....???
Unakumbuka ulikotoka? NA kama si washikaji wa JK kukupigia debe ukatoka kunywa gongo pale
kilosa ukapewa hicho cheo leo hii kweli unatukana!
Naona unamtukana Jk na sio watz,juzi tuu kakuomba uangalie uwezekano wa kupunguza kodi esp. mafuta
walao wadanganyika wapate ahueni ya maisha ww unamtukana.
DUA ZA WATZ ZINAWEZAKUKUFANYA KITU KIBAYA.omba radhi.