Kila mtu atakula kwa jasho lake-mkulo

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Waziri wa fedha mustafa mkulo amesema kuwa kila mtu atakula kwa jasho lake,na kuwataka wananch wasitegemee hali ngumu ya uchum waliyonayo kama itaisha,pia amesema serikali haitafuta kodi za mafuta ng'o
 
Nani kasema huruhusiwi? Mtukane kimoyomoyo, u will feel better!
 
Yaani nchi hii bana, mtu akiwa waziri wa fedha huwa anajisahau sana, nakumbuka Mramba aliwahi kusema "tupo tayari watanzania wale nyasi lakini ndege ya rais(ya kifisadi) ni lazma inunuliwe"
 
Yaani nchi hii bana, mtu akiwa waziri wa fedha huwa anajisahau sana, nakumbuka Mramba aliwahi kusema "tupo tayari watanzania wale nyasi lakini ndege ya rais(ya kifisadi) ni lazma inunuliwe"

nami nimewaza nikawazua kama wewe
 
Mkullo anapashwa kuwataka radhi watanzania; haiwezekani akatamka maneno kama hayo wakati yeye ndiye aliyepewa dhamana ya kusimamia rasilimali yetu wote, badala ya kuhakikisha rasilimali hiyo inatumika kwa maendeleo ya wote, ametumia sehemu kubwa ya mali hiyo kuwagawia watu wachache, sehemu ya rasilimali iliyosalia ameitumia katika mambo ya anasa, na ako kakiduchu kalikosalia ndiko anataka watu tulio wengi tugawane. Hama budi abanwe kweli kweli atuonyeshe alikoiweka mali yetu.
 
Waziri wa fedha mustafa mkulo amesema kuwa kila mtu atakula kwa jasho lake,na kuwataka wananch wasitegemee hali ngumu ya uchum waliyonayo kama itaisha,pia amesema serikali haitafuta kodi za mafuta ng'o

Kila mtu kula jasho lake sio tatizo, Bwana Mustafa, tatizo linakuja pale wengine wanapokula kwa jasho la wengine. Hela za serikali zinachotwa (epa,meremeta, richmond, dowans, rada etc ), wewe kama waziri hukumei, mapato ya serikali yanapotea ( utalii, uwindaji na madini) husemi kitu, rais anasafiri bila sababu nje ya nchi na waziri wake anasinzia pembeni, unaona sawa tu, wewe unakodiwa ndege kwenda dodoma na gari inafuta ikiwa na dereva unasema watu wanatoa siri za ofisi nje.

Mashangingi yananunuliwa na serikali kwa kila idara na mengi kati ya hayo huwa hayatumiki , yanapaki miaka yote yanangoja yawe "written off in the books", myanunue wewe na idara yako ya ukaguzi mnakoroma tu. Ukiambiwa punguza kodi ndo unang'aka kila mtu atakula jasho lake.

Kwa nini usiwakemee wanaokula jasho la wengine, Mustafa, kama waziri kazi yako ni kudhibiti mapato ya nchi tena hiyo ndio muhimu zaidi, uking'ang'ania msemo wako utagundua kuwa wengi wa watanzania kwa hivi sasa hata jasho hawana, limeliwa lote na wengine, sijui kesho utasema tule nini.

Anyway ndo maisha bora hayo uzalendo huyo ambao clouds wanataka tuufurahie kwa kucheza kiduku pale biafra.

Mungu wa Israel uko wapi utuokoe wanao????
 
Mkulo anatamka hayo maana yeye ameshakula akavimbiwa na sasa anaona watz ni takataka. Haya yana mwisho na ajiulize Mramba alipo.
 
Mkullo anapashwa kuwataka radhi watanzania; haiwezekani akatamka maneno kama hayo wakati yeye ndiye aliyepewa dhamana ya kusimamia rasilimali yetu wote, badala ya kuhakikisha rasilimali hiyo inatumika kwa maendeleo ya wote, ametumia sehemu kubwa ya mali hiyo kuwagawia watu wachache, sehemu ya rasilimali iliyosalia ameitumia katika mambo ya anasa, na ako kakiduchu kalikosalia ndiko anataka watu tulio wengi tugawane. Hama budi abanwe kweli kweli atuonyeshe alikoiweka mali yetu.

You couldnt have said better, it seems, as a minister Mustafa does not know the scope of his duties. He should be sacked with immediate effect.
 
Msisahau jamani kauli kama hizi zitaendelea kusemwa na na viongozi vipofu watokanao na ccm waliokula rasilimali za nchi hii. Sisi tutakula kwa jasho lakini mkulo anakula vya wavuja jasho, zitakuja kukutoka puani. analipwa kwa kodi zetu huyo acha kauli za madharau uliza mwenzako mramba yuko wapi na kauli za kula nyasi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndugu yangu Mkulo ninakujua fika kweli haya maneno unayazungumza leo kweli...!!!!!....???
Unakumbuka ulikotoka? NA kama si washikaji wa JK kukupigia debe ukatoka kunywa gongo pale
kilosa ukapewa hicho cheo leo hii kweli unatukana!
Naona unamtukana Jk na sio watz,juzi tuu kakuomba uangalie uwezekano wa kupunguza kodi esp. mafuta
walao wadanganyika wapate ahueni ya maisha ww unamtukana.
DUA ZA WATZ ZINAWEZAKUKUFANYA KITU KIBAYA.omba radhi.
 
Mkula nakwambia punguza kodi kwenye mafuta. laa sivyo nitakuona 2015 siyo mbali, tutapambana jimboni kwako.
Halafu watz kuna baadhi vitu havina jinsi kupanda bei, mfano unga,mchele,maharage. Wtz wengi mnang'ang'ania town. Jamani hata kama upo mjini anzisha kimradi angalau cha ekari hata mbili ulime chakula. Tafuta kijana pale kijijini muwezeshe japo ekari 5 theni zako 3 zake mbili. Nadhani kila alie mjini akilima angalau ekari moja tu ya chakul, kisingepanda bei. Lakini wana JF mpo mjini tu the nanai akuzalishie chakula wewe ule tu. Sisi wakulima tukipandisha bei nyie mnalalamikia serikali. wewe unataka wafanyeje kwenye bei ya mchele, au unga, au maharage. tutumie akili zetu wtz kuna baadhi ya bidhaa hasa ya vyakula vyetu ambavyo vingi tunalima wenyewe. Mashamba mengi yapo poli tu hata ukienda hapo karibu na mjini-bonde la mto ruvu -ni pori tu linalalalia. Na ukija huku kwetu moro-ndo kabisa mabinde kibao yanalalia mapori. Tena yanagawiwa na vijiji vyetu.
 
Mkula nakwambia punguza kodi kwenye mafuta. laa sivyo nitakuona 2015 siyo mbali, tutapambana jimboni kwako.
Halafu watz kuna baadhi vitu havina jinsi kupanda bei, mfano unga,mchele,maharage. Wtz wengi mnang'ang'ania town. Jamani hata kama upo mjini anzisha kimradi angalau cha ekari hata mbili ulime chakula. Tafuta kijana pale kijijini muwezeshe japo ekari 5 theni zako 3 zake mbili. Nadhani kila alie mjini akilima angalau ekari moja tu ya chakul, kisingepanda bei. Lakini wana JF mpo mjini tu the nanai akuzalishie chakula wewe ule tu. Sisi wakulima tukipandisha bei nyie mnalalamikia serikali. wewe unataka wafanyeje kwenye bei ya mchele, au unga, au maharage. tutumie akili zetu wtz kuna baadhi ya bidhaa hasa ya vyakula vyetu ambavyo vingi tunalima wenyewe. Mashamba mengi yapo poli tu hata ukienda hapo karibu na mjini-bonde la mto ruvu -ni pori tu linalalalia. Na ukija huku kwetu moro-ndo kabisa mabinde kibao yanalalia mapori. Tena yanagawiwa na vijiji vyetu.

Mbona hata mvuazinasumbua Jamani?
 
Mkulo amesahau kuwa na wao wanakula kwa jasho la wananchi?Kama wananchi wangekuwa wanaruhusiwa kula kwa jasho lao nani angwapigia kelele?Tatizo ni wao wanakula jasho la wananchi.
 
Mkula nakwambia punguza kodi kwenye mafuta. laa sivyo nitakuona 2015 siyo mbali, tutapambana jimboni kwako.
Halafu watz kuna baadhi vitu havina jinsi kupanda bei, mfano unga,mchele,maharage. Wtz wengi mnang'ang'ania town. Jamani hata kama upo mjini anzisha kimradi angalau cha ekari hata mbili ulime chakula. Tafuta kijana pale kijijini muwezeshe japo ekari 5 theni zako 3 zake mbili. Nadhani kila alie mjini akilima angalau ekari moja tu ya chakul, kisingepanda bei. Lakini wana JF mpo mjini tu the nanai akuzalishie chakula wewe ule tu. Sisi wakulima tukipandisha bei nyie mnalalamikia serikali. wewe unataka wafanyeje kwenye bei ya mchele, au unga, au maharage. tutumie akili zetu wtz kuna baadhi ya bidhaa hasa ya vyakula vyetu ambavyo vingi tunalima wenyewe. Mashamba mengi yapo poli tu hata ukienda hapo karibu na mjini-bonde la mto ruvu -ni pori tu linalalalia. Na ukija huku kwetu moro-ndo kabisa mabinde kibao yanalalia mapori. Tena yanagawiwa na vijiji vyetu.

kama unaenda kilosa kati nitakuwa kampen meneja wako,kuanzia maeneo ya kimamba,rudewa,madoto,dumila,
 
Ndugu yangu Mkulo ninakujua fika kweli haya maneno unayazungumza leo kweli...!!!!!....???
Unakumbuka ulikotoka? NA kama si washikaji wa JK kukupigia debe ukatoka kunywa gongo pale
kilosa ukapewa hicho cheo leo hii kweli unatukana!
Naona unamtukana Jk na sio watz,juzi tuu kakuomba uangalie uwezekano wa kupunguza kodi esp. mafuta
walao wadanganyika wapate ahueni ya maisha ww unamtukana.
DUA ZA WATZ ZINAWEZAKUKUFANYA KITU KIBAYA.omba radhi.

alikua kwenye mikonge rudewa+kimamba.leo yupo dar kajisahau,anasahau kuwa waliompa kura ni watu wa dumila,kilosa,
 
wameshashiba jaman, watatukumbuka sisi wallala hoi, huo ndo msimamo wa CCM, tutaendele kuumia jaman kama tutashindwa kuwa na nia ya mabadiliko WATANZANIA
 
Back
Top Bottom