tgeofrey
JF-Expert Member
- Jan 29, 2008
- 558
- 15
Hakuna kikomo kwa shukrani tunazotakiwa kutoa kwa mama zetu. Leo hii uambiwe mama yako tunamtoa kundini(je hii inamaanisha wewe unabaki) maana yake hayupo , kwa hiyo mama hayupo mtoto hawezi kuzaliwa. Adhabu chadema waliyompa zito ni zaidi ya uhai, mtu anaye kupenda atapenda uhai wako. Uhai sio kupumua uhai Ni mjumuisho wa amani iliyokuzungukaka hata kama unakula mlo mmoja kwa siku. Hatuko sawa tuna makosa makosa yana pishana ushindi haupatikani milele ,Mpaka msawazisho wa mapungufu upatiKane( compassesion of weakness)