Kila mtu ana kwao, Kila mtu afe na kwao, Bongo au zenji chagua moja

You need to go farther. Everybody should go back to their ancestral homeland.

shida ndo hapo. lazma ijulikane tukisha wafurumusha wakarud zenj kama wew ni mgogo utafurumushwa uende dodoma. mhaya aishie zake bk. no one want that.
 
Mimi ni mbongo kama ulivyo wewe lakini tukiwatenga wazanzibar tukidhani sisi ni wamoja tunajidanganya. Ukishajitambulisha kwa ''u-bongo'' wako utakuta walokuzunguka si ndugu zako,kabila lako,rangi yako au dini yako. Kama kweli mimi na wewe wote ni wabongo mbona ukienda lala unafunga mlango kama sisi sote ndugu?

Kubaguana ni uasi, na jambo la kipumbavu hata kama litaungwa mkono na 99% ya wapumbavu, kiongozi bora mwenye busara atawasikiliza wachache 1%.

Acheni excuse zisizo na maana. Wagunya waende zao kwao na sisi wa-Tanganyika tubakie kwetu. Kwani hapo kabla ya Muungano wa-Tanganyika tulikuwa tunaishi vipi? Waha, Wamatumbi, Wakwere, Wahaya, Wakahe, wamamngwe n.k. si wote tulikuwe na kuisha kama ndugu tu!! Acheni hulka za woga usio na maana. Warudi zao kwao Ugunyani nasi tubaki na Tanganyika yetu.

Tuachane na propaganda za wana siasa wa MAGAMBA. Hasa wa kutoka huko Visiwani kwani wanaogopa kukosa ajira.
 
Takribani raia wakaribiao 500,000 toka znzbr wamefanya makazi yao huku wetu bara toka nchii hizi ziungane mwaka 1964,wengi wao wakikimbia mateso ya mwaka 1964-7,wengi wao wakitokea pemba ambako huko walikimbia mateso ya serikali ya kipindi hicho waliyokuwa wanasema inawanyanyasa,kuwepo kwa muungano ilikuwa kama ni kichocheo au rutuba kwao kwani walikimbilia huku na kukufanya kama vile ni kwao baadaye pia miaka ya 70 baada ya kifo cha karume walikimbia tena wapemba wengi sana kuja bara kukimbia mateso nao wakazaliana huku na kukufanya kama vile kwao.

waznzbr wengi waliokimbilia bara walipata nafasi ya kusoma na kujiendeleza kielimu kwani tofauti na bara znzbr Karume alikataza waznzbr kusoma na mwisho ilikuwa form 4 tu baada ya hapo unakwenda kufundisha wenzako hivyo wale wote waliobaki znzbr walikosa fursa ya kujiendeleza kusoma mpaka karume alipokufa.

Sasa miaka imepita na waznzbr wanadai wanataka kuvunja muungano kwa werevu kama mimi tunasema kuna wabara wachache sana hawafiki hata 50,000 wanaoishi znzbr,kweli ni muungano tu ndo uliowawezesha wabara hao kujenga znzb na ni muungano huo huo uliowawezesha wa zenji na wapemba kujenga huku bara,kwa hiyo hilo ni tunda la muungano,sisi tunasema hivi muungano ukifa wazanzibar waliojenga na wanaoishi na kununua mali bara warudi kwao,na wabara waliojenga na kuishi zenji warudi kwetu bara kutakuwa na mali nyingi za kuwa compensate tu.

Kama mimi ningekuwa mznzbr leo na nimejenga bara kitu cha kwanza ningeanza kuuza nyumba yangu mapema kutafuta ustaarabu CHAKECHAKE kwetu.Na wale watakaotaka kuendelea kuwekeza bara basi walipe kodi kama mwekezaji mgeni yeyote wa EAC atakavyolipa na wakija waje na passport kama mtu toka kenya navyoingia nchini.

Umeme tutakuwa tunawauzia kama vile tunavyoziuzia nchi zozote zile kwa bei ileile ya kimataifa na siyo hii ya upendeleo ya sasa.Hatutaki muungano wowote zaidi ya uliopo sasa,hatutaki muungano wa mkataba wala wa serikali 3,nje ya muungano wa serilkali 2 ni bora huo muungano uvunjike tu.

Sisi watu wa bara hatuna tunachokipata na muungano huu zaidi ya matusi toka kwa wapemba wasio na shukrani ambao karume alitaka kuwaangamiza kama isingelikuwa busara za Mlm.NYERERE.Sasa wapemba anzeni kuuza mashamba yenu mujiandae kurudi chakechake.

Juzi nilikuwa nipo safarini nakwenda zangu Dodoma kwa bahati nilikaa karibu na mznzbr mmoja aliyekuwa anakwenda Kibaigwa kununua mashamba ya kulima,kwa kweli hapo kuna wapemba wengi sana na ni matajiri sana sababu ya kununua mashamba ya hekari kubwa sana,nikamwambia kwanini asiende kununua mashamba Chake Chake au Stone Town kwenu badala yake unawekeza bara jibu aliloniambia ni kwamba huko znzbr kumejaa nafasi ya kila mtu kupata shamba la kulimia haiko kama huku. Hilo ni tatizo tu la ardhi linaloikabili znzbr kwa sasa wakati hao waznzbr takriban laki 5 hatujawarudisha kwao,mimi sitaki kuwatisha ila naelezea consequence za tendo la secession ya znzbr.

WAZANZIBAR,WAPEMBA TUNAWAOMBA MRUDI KWENU JAMANI NA SISI TUNAHITAJI MAENEO YA KUJENGA NA KULIMA TAZAMENI K'KOO YOOTE NA TANDIKA MMEITEKA NA KUITWAA NYIE SASA WAKWERE NA WAMAKONDE WAKAJENGE NA KUFANYA BIASHARA WAPI????TUMEWACHOKA!!!!ONDOKEN I!!! NA SISI TUNAMATUMIZI PIA JAMANI EHEEEEE!!!
Ushawahi kufika zanzibar au unaiyona kwenye tv tu ?
Dah nakusikitikia sana ndugu yangu,lakini sitokulaumu ikiwa Waziri wa ELIMU wa tanzania Mugulo haijui historia ya muunGANO, jee wewe alikusomesha utaijua ? Huo utumbo uliandika hapo hau exist kabisaaa,kama huijui historia ya zanzibar kablaya ya mapinduzi ya 1964 sema tukusomeshe, au nenda katika website hii soma kitabu hiki
Goodbye Colonialism, Goodbye Freedom! Zanzibar and the Afrabia Revolution

Halafu unasema ukivunjika muungano tuondoke we vipi una kichaaa ? Wafukuze na wachina basi ,,na wakongo ,waburundi !

Akili samaki kumbe wako wengi sio lazima uwe ccm.
 
Ushawahi kufika zanzibar au unaiyona kwenye tv tu ?
Dah nakusikitikia sana ndugu yangu,lakini sitokulaumu ikiwa Waziri wa ELIMU wa tanzania Mugulo haijui historia ya muunGANO, jee wewe alikusomesha utaijua ? Huo utumbo uliandika hapo hau exist kabisaaa,kama huijui historia ya zanzibar kablaya ya mapinduzi ya 1964 sema tukusomeshe, au nenda katika website hii soma kitabu hiki
Goodbye Colonialism, Goodbye Freedom! Zanzibar and the Afrabia Revolution

Halafu unasema ukivunjika muungano tuondoke we vipi una kichaaa ? Wafukuze na wachina basi ,,na wakongo ,waburundi !Akili samaki kumbe wako wengi sio lazima uwe ccm.

mdogo wangu ghibu sisi wenzako hatuna haja na muungano na tunasubiri tu muuvunje tuwarudishe kwenu kuhusu hapo kwenye mkaz hapo sasa unafkiri muungano ukivunjika utaendelea kubaki kwetu bara??si itakuwa vchekesho tu watu wetu walipo zenji watarudi na wazenji wote waliko bara watarudi kwao,kama vile sudan ilivowarudisha wa s.sudan kwao na sisi tutawafanya vivo hivyo,chagueni moja tu eitha zenji au muungano hamuwezi mkavunja muunggano halafu muendelee kufaidi matunda na utajiri wa tanganyika wakati muna kwenu zenji mrudi mkafaidi wa kwenu na mtuachie urithi wetu.kuhusu hio web site ya wamakonde wanaotamani kuitwa waarabu si hatuna haja nayo mana bakora za kanali seif bakari na john okelo tulizishuhudia na kule kunyolewa ndevu kwenu mbaka mkakimbilia bara nyerere akawaonea huruma na shule mkasoma bureee!!halafu leo hii mnamletea dharau ona undumila kuwili wa wapemba huu yaani hawana shukrani kabisa bora tuwarudishe kwao Wete tu.halafu siwapendi nyie wazenji laiti mungelijua hilo!!mi nawasubiri kwa hamu tu mvunje muungano
 
Acheni excuse zisizo na maana. Wagunya waende zao kwao na sisi wa-Tanganyika tubakie kwetu. Kwani hapo kabla ya Muungano wa-Tanganyika tulikuwa tunaishi vipi? Waha, Wamatumbi, Wakwere, Wahaya, Wakahe, wamamngwe n.k. si wote tulikuwe na kuisha kama ndugu tu!! Acheni hulka za woga usio na maana. Warudi zao kwao Ugunyani nasi tubaki na Tanganyika yetu.

Tuachane na propaganda za wana siasa wa MAGAMBA. Hasa wa kutoka huko Visiwani kwani wanaogopa kukosa ajira.

Wagunya watu wa Mombasa.
 
Wagunya watu wa Mombasa.

wagunya ni kabla la mmbasa na Lamu na Pate wao na Wabajuni wazanzibr wanapenda sana kujinasibisha kwao kisa tu hao wagunya na wabajuni wengi wao wana asili ya kiarabu na kwa vile wazenji nia yao hasa ya kutaka kuvunja muungano ni kutaka kuukana uafrka basi hupenda kujisifia wao ni wagunya hata kama zenji nzima kuna wagunya kumi tu waliokwenda kufanya biashara!! mwishowe tutasikia hadi wadigo wana asili zenji kisa tu nao wana damu ya kiarabu!!ama kweli nimeamini kuwa mtumwa ni kitu kibaya sana kuliko kuwa mfanya biashara ya watumwa,tazama leo mzimu wa utumwa unavyowasumbua wa zenji kukataa uafrika wakati wana damu ya kiafrika kisa tu mwafrika ambao ni babu zao walikuwa watumwa!!kwa hiyo wanatamani kuwa waarabu sasa mabwanyenye weusi na wao dah!!kweli ile methali ya kale hapa ina busara zake"....................mla maganda hatasahau kamwe"
 
wagunya ni kabla la mmbasa na Lamu na Pate wao na Wabajuni wazanzibr wanapenda sana kujinasibisha kwao kisa tu hao wagunya na wabajuni wengi wao wana asili ya kiarabu na kwa vile wazenji nia yao hasa ya kutaka kuvunja muungano ni kutaka kuukana uafrka basi hupenda kujisifia wao ni wagunya hata kama zenji nzima kuna wagunya kumi tu waliokwenda kufanya biashara!! mwishowe tutasikia hadi wadigo wana asili zenji kisa tu nao wana damu ya kiarabu!!ama kweli nimeamini kuwa mtumwa ni kitu kibaya sana kuliko kuwa mfanya biashara ya watumwa,tazama leo mzimu wa utumwa unavyowasumbua wa zenji kukataa uafrika wakati wana damu ya kiafrika kisa tu mwafrika ambao ni babu zao walikuwa watumwa!!kwa hiyo wanatamani kuwa waarabu sasa mabwanyenye weusi na wao dah!!kweli ile methali ya kale hapa ina busara zake"....................mla maganda hatasahau kamwe"

Kwa hiyo unatukana wagunya kwa kosa la wazanzibar kujiita wagunya.
 
shida ndo hapo. lazma ijulikane tukisha wafurumusha wakarud zenj kama wew ni mgogo utafurumushwa uende dodoma. mhaya aishie zake bk. no one want that.
Acha mawazo finyu hakuna Mgogo aliyeomba kurudi Dodoma wala Muhaya aliyeomba kurudi Bukoba na kwa akili ndogo tu hizo sehemu ulizozitaja hamna hata sehemu moja yenye wimbo wake,jeshi,bendera wala bunge,nakuomba unapoandika kwenye watu wenye akili andika kitu kinachoeleweka,Zanzibar hawautaki Muungano ni nyie tu Watanganyika msiokuwa na nchi ndio mnangangania Muungano Naunga mkono kabisa Wazanzibari walioko huku Bara waondoooooooooke warudi kwao kwani Muungano unatusaidia nini unawasaidia wao halafu wanapiga kelele warudi kwao na walioko huku bara wawe na working permit wasituburuze kama wanavyoiburuza CCM watu milioni moja na nusu kwenye CC yao wamegawana sawa na watu zaidi ya 40 mili 10 kwa 10 hivi ni kwanini wanabebwa hivi?
 
Hii mada imeniacha hoi,kweli wapemba ni wabishi,yaani wanataka Kuvunja muungano ilhali hawataki kurudi kwao hii ni kali ya Karne
 
wagunya ni kabla la mmbasa na Lamu na Pate wao na Wabajuni wazanzibr wanapenda sana kujinasibisha kwao kisa tu hao wagunya na wabajuni wengi wao wana asili ya kiarabu na kwa vile wazenji nia yao hasa ya kutaka kuvunja muungano ni kutaka kuukana uafrka basi hupenda kujisifia wao ni wagunya hata kama zenji nzima kuna wagunya kumi tu waliokwenda kufanya biashara!! mwishowe tutasikia hadi wadigo wana asili zenji kisa tu nao wana damu ya kiarabu!!ama kweli nimeamini kuwa mtumwa ni kitu kibaya sana kuliko kuwa mfanya biashara ya watumwa,tazama leo mzimu wa utumwa unavyowasumbua wa zenji kukataa uafrika wakati wana damu ya kiafrika kisa tu mwafrika ambao ni babu zao walikuwa watumwa!!kwa hiyo wanatamani kuwa waarabu sasa mabwanyenye weusi na wao dah!!kweli ile methali ya kale hapa ina busara zake"....................mla maganda hatasahau kamwe"

Kama ni hivyo wapigwe tu warudi kwao, maana hatuna jinsi.
 
Back
Top Bottom