Nilifumbwa macho mimi au wewe ambaye kwenu pemba hakuna hata internet umekuja kuijulia hapa kwetu?Halafu kwani ulaya kitu gani mi nipo bongo hii hii wala sipo ulaya ondoa hilo wazo kwanza pili ulaya kwangu mimi si kitu huwa nakwenda navyotaka mimi sijui wewe mbaka uuze pweza mwenzangu?? usikasirike dawa ya tatizo ni kulitibu kama unaona nyumbani zenji hakuvutii inabidi uende ukakutengeneze mpaka kuvutie inabidi murudi pemba mkajaze udongo pwani maana nasikia siku hizi bahari inajaa inachukua ardhi baada ya miaka 10 nusu ya pemba na unguja itakuwa ishamezwa na maji!!!muwahi sasa jamani mkajaze mchanga mkafanye ile kitu inaitwa Land Reclaimation mapema
UJUMBE UMEFIKA DUH ! (MESSAGE SENT )
Mkuu umekuja na kihere here baada ya kumiliki kisimu mchina halafu unakataa hujafumbua macho karibuni ! Join Date : 21st June 2012.
inaonekana ukipata ki tv kidogo watakoma wapangaji wenzio.
halafu unaongopa ulaya unakwenda unavyotaka siku ukipanda ndege si utaharisha wewe ! sasa tushike wapi mara pweza mara magorofa kariakoo mara tandika nipo na 100% kichwa chako ni style ya kichogo ndo mana unakuwa na mawazo mgando wewe hata ukipewa gorofa zima kariakoo utaishia kuuza ugoro.
Join Date : 21st June 2012. karibu sana JF.
tunajua hujakaribishwa :shut-mouth: