Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 405
- 427
Mwendazake alinyenyekea-nyenyekea kipindi cha uteuzi pale na kampeni baada ya kukalia kiti hamkuheshimu mtu, hadi wanaCCM nao wakapigwa na butwaa wakajiuliza eh huyu ndio yule yule, Viongozi wakuu waastaafu wa nchi hawakuheshimiwa, Viongozi wenzake wa serikali, bunge na mahakama nao walibaki kusema ndio mzee, alishauri washauri wake ikitokea umetoa maoni tofauti basi cha moto utakiona, kila mtu aliweka mikono nyuma na kuinamisha kichwa chini, sasa utawalaumu CCM hapo, utawalaumu Viongozi wastaafu hapo, utawalaum washauri wake hapo, utawalaumu viongozi waandamizi hapo.
Hakuna wa kumlaumu maana kwa yule mzee ungejaribu kumpinga usingebaki salama, waulize wa kina Kinana na Makamba kilichowakuta ilibidi na waufyate na wao waje kuimba mapambio ya kumsifu tu.
Kwa hiyo Mr Mbowe utalaumu watu bure wakati wewe mwenyewe unajua aliyekuwa ameshika rungu alikuwa yukoje.
MY TAKE: BINADAMU ACHA KUPENDA SIFA, SIFA ZOTE PELEKA KWA MUNGU, NA HATA UKIPATA CHEO CHA KUONGOZA DUNIA HESHIMU MAWAZO YA WENZIO, UTAISHI VIZURI SANA MAISHA YAKO YOTE ILA USIJIFANYE WEWE MWAMBA, MWAMBA NI MUNGU TU.
Hakuna wa kumlaumu maana kwa yule mzee ungejaribu kumpinga usingebaki salama, waulize wa kina Kinana na Makamba kilichowakuta ilibidi na waufyate na wao waje kuimba mapambio ya kumsifu tu.
Kwa hiyo Mr Mbowe utalaumu watu bure wakati wewe mwenyewe unajua aliyekuwa ameshika rungu alikuwa yukoje.
MY TAKE: BINADAMU ACHA KUPENDA SIFA, SIFA ZOTE PELEKA KWA MUNGU, NA HATA UKIPATA CHEO CHA KUONGOZA DUNIA HESHIMU MAWAZO YA WENZIO, UTAISHI VIZURI SANA MAISHA YAKO YOTE ILA USIJIFANYE WEWE MWAMBA, MWAMBA NI MUNGU TU.