vijana wengi wanapenda kuchagua kazi uku wakiwa hawana kazi,na kuona aibu kufanya kazi kama hizi,wakat wengine zinawaingizia kipato na kuwezesha kujikimu wao na familia zao,pia kufanya kazi kama hizi sio ticket ya mtu kuwa mchafu inatakiwa kila mtu apende kazi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.