technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kila mtanzania anadaiwa milion 1 ata ukiwa na watoto wachanga walio zaliwa leo kila mmoja anadaiwa milion 1 kinachoumiza zaidi mwaka 2015 kila mtanzania alikuwa anadaiwa laki 6 lakini ndani ya miaka 4 sasa ivi tunadaiwa mil 1 kwa mujibu wa report ya IMF maana yake kwa mwaka kila mtanzania anakopewa laki 1 kibaya zaidi 57% ya mali za afrika ndio madeni tunayodaiwa kama bara. deni la taifa trion 60 na watu mil 60.