Kila msomi anaikimbilia Siasa Nchi itajengwa na nani?

zagarinojo

JF-Expert Member
Jul 26, 2020
2,622
2,835
Now days ishakuwa kama mchezo sasa mtu anapiga zake kitabu akishajikombea vi degree vyake basi anaona ametosha kuwa mwanasiasa.

Sasa wasomi wetu wanapoikimbilia siasa wote nani ataijenga nchi kwasababu nchi inajengwa na wananchi.

Wakati wa upigaji kura za maoni tumeshuhudia vijana wengi wakitaka nafasi hizo. Wengine wanagombea hadi uraisi na wakati hata hawajulikani kWa wanachama wala wananchi hawashiriki katika masuala yoyote ya kijamii
Duh!
 
Brother hiyo ni safari ya kutimia ( 2 Timotheo 3:1-5 )

"Karma is real, therefore a positive karma is best as compared with negative"

Hakuna kipya.
 
Wasomi wengi tunasoma ili tuje kuajiriwa.
Sasa anapo toka chuon alaf aje akutane na changamoto za ajira anaona bara akimbilie siasa tu.
Package zilizopo kwenye siasa nazo uwavutia (ebu angalia tu malipo ya mwezi, posho na kiunua mgongo cha mbunge)
 
Now days ishakuwa kama mchezo sasa mtu anapiga zake kitabu akishajikombea vi degree vyake basi anaona ametosha kuwa mwanasiasa.

Sasa wasomi wetu wanapoikimbilia siasa wote nani ataijenga nchi kwasababu nchi inajengwa na wananchi.

Wakati wa upigaji kura za maoni tumeshuhudia vijana wengi wakitaka nafasi hizo. Wengine wanagombea hadi uraisi na wakati hata hawajulikani kWa wanachama wala wananchi hawashiriki katika masuala yoyote ya kijamii
Duh!
Tanzania inaendeshwa na wasio wasomi na ndiyo tutakaoijenga, achana na wasomi kwani toka tupate Uhuru wamefanya jambo gani zaidi ya kunyang'anyana madaraka na kuvaa tai na makoti kila siku.
 
Majaji wa mwanzo kina Nyalali, Mapigano, Mzavas, Rugakingira, Mlay nk walikua na degree moja tu. Hawakua na mbwembwe za u Dr wala U Prof lakini wale ndio walitengeneza heshima ya Muhimili wa Mahakama, hasa Mahakama Kuu kwa weledi na uadilifu wao

Sometimes kupata mashahada kibao kunakua ni mbwembwe na majivuno ya bure tu wala haina maana kua utakua the best citizen
 
Wanasiasa ndiyo wanaoendesha nchi, Je unataka nchi iendeshwe na akina Msukuma . Wacha wasomi waende huko.
 
Now days ishakuwa kama mchezo sasa mtu anapiga zake kitabu akishajikombea vi degree vyake basi anaona ametosha kuwa mwanasiasa.

Sasa wasomi wetu wanapoikimbilia siasa wote nani ataijenga nchi kwasababu nchi inajengwa na wananchi.

Wakati wa upigaji kura za maoni tumeshuhudia vijana wengi wakitaka nafasi hizo. Wengine wanagombea hadi uraisi na wakati hata hawajulikani kWa wanachama wala wananchi hawashiriki katika masuala yoyote ya kijamii
Duh!
Wakulaumiwa ni mmoja tu kutoka Chato
 
Back
Top Bottom