Kila Mpiganaji wa JWTZ arudi nyumbani.

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,017
..every combatant must return home.

..nimesikitishwa sana na habari kwamba askari wetu aliyetumwa Comoro alizama baharini na mwili wake haujapatikana mpaka leo.

..kilichonishangaza ni kwamba askari huyo hakuzama kutokana na shambulio la adui. inadaiwa alianguka majini wakati wakipakua mizigo.

..hisia zangu ni kwamba askari huyo hakuwa na ujuzi wa kuogelea, na hata wenzake ambao wangepaswa kumuokoa hawakuwa na ujuzi huo pia.

..inawezekana kabisa Tanzania ilipeleka askari kufanya amphibious invasion bila kuwa-train ktk masuala ya kuogelea na kuchupa mbizi.

..askari wetu were not under enemy's fire kwanini hawakumuokoa mwenzao? je askari wetu walipewa vifaa gani vya kuokoa majeruhi na haswa ktk mazingira ya baharini?

..naomba wanaohusika wahakikishe kijana, askari wetu, aliyefariki Comoro anarudishwa nyumbani na kuzikwa kwa heshima zinazostahiki.

..EVERY SOLDIER MUST RETURN HOME.
 
Mkuu hii niliuliza kwenye ile thread ya majeshi yetu Comoro na sikupata jibu.
 
JokaKuu na demand kali na ngumu. Sasa atapatikana vipi sasa hivi? Au unataka uletewe maiti feki ndio uamini?
 
Hili la mwili, nadhani tukubali hautopatikana tena, ila swali langu liko kwenye haya maswala ya kuogelea na kupiga mbizi.
 
Back
Top Bottom