ndemanya
Member
- Jul 7, 2019
- 20
- 21
Dah! Sijui ninafeli wapi kila mwanamke ninayekuwa naye ananikimbia na kama ni mashine ninayo yakutosha na pia namhudumia kila kitu anachohitaji sijui nakwama wapi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app