ccm imeanzisha shule za kata mimi nimesoma mpaka sasa nina elimu ya kuridhisha tu.
elim ya kuridhisha ndo elim gani?
ccm imeanzisha shule za kata mimi nimesoma mpaka sasa nina elimu ya kuridhisha tu.
Kila mmoja JF naomba afumbe macho dakika kumi baada ya kusoma topic hii halafu eleza jinsi CCM ilichomfanyia yeye au ndugu yake au mzazi wake. Mimi naanza.
1.Primary School education - buuureee
2. Secondary School form 1 to 6-ada nafuu ya 3000 hadi 60,000 nilipomaliza-1998
Chuo Kikuu UDMS- Mkopo sasa ivi nakatwa 16,000 tu kwa mwezi nahisi ntastaafu kazi kabla sijamaliza na wenzangu wengine hata hawalipi
3. Masters - sponsorship buuureeeee UDSM
4. Ajira
5, Ndugu zangu wamesoma na kupata mikopo buuuureee nao wanajitegema sasa
Kila mmoja aseme jamani, mnyonge mnyongeni.....................:evil::bange: teh msifiche
#unategemea nini kama umesomea maxingira haya utafika univesity kweli.
Kila mmoja JF naomba afumbe macho dakika kumi baada ya kusoma topic hii halafu eleza jinsi CCM ilichomfanyia yeye au ndugu yake au mzazi wake. Mimi naanza.
1.Primary School education - buuureee
2. Secondary School form 1 to 6-ada nafuu ya 3000 hadi 60,000 nilipomaliza-1998
Chuo Kikuu UDMS- Mkopo sasa ivi nakatwa 16,000 tu kwa mwezi nahisi ntastaafu kazi kabla sijamaliza na wenzangu wengine hata hawalipi
3. Masters - sponsorship buuureeeee UDSM
4. Ajira
5, Ndugu zangu wamesoma na kupata mikopo buuuureee nao wanajitegema sasa
Kila mmoja aseme jamani, mnyonge mnyongeni.....................:evil::bange: teh msifiche
nikikuambia kuwa nina masters kwa mfano;utaniambia sasa najisifu ili nini?elimu ya kutosha ni ile inayomuwezesha mtu kujitambua.elim ya kuridhisha ndo elim gani?
Umekula dili na bodi ya Mikopo ya CCM?Chuo Kikuu UDMS- Mkopo sasa ivi nakatwa 16,000 tu kwa mwezi nahisi ntastaafu kazi kabla sijamaliza na wenzangu wengine hata hawalipi