Kila mkutano wa Kikwete anakalia kiti kile kile, Je anasafiri nacho?

ukiona mtu anaanza kuchanganyikiwa na maisha ndio huku,ww kiti kinakuhusu nini?huwa anabeba kila anakokwenda kuhutubia jee mmefurahi?wekeni issue za mana sio utoto wa chuo hapa sio ud

kinachonishangaza ktk nchi hii kuna chungu ya mambo ya msingi ya kufanya na kusema lakini watu wanayaacha hayo yote na kuweka pumba hapa! Sasa tukijadili 'kiti na hirizi' hapa ndo tutapata faida gani? Haya basi 'rais anapata ujasiri wa kuongea akikalia kiti kile kile chenye hirizi'
 
Swala la Hirizi linatoka wapi?
hebu acheni hizi fikra potofu na imani za kishirikina!
naamini JF ni jamvi la wasomi ambao hawapaswi kuendekeza imani potofu!

ukiangalia kwa umakini, hicho kiti kwa juu ina beba taswira ya Mlima kilimanjaro na vitu vingine
kama ishara ya utajiri wa maliasili hapa Tz!
so sishangai kumwona amekikalia hata akihutubia kutoka ughaibuni??

USHIRIKINA ndio unaorudisha maendeleo ya Wadanganyika nyuma!
jaribu kuamini katika Sc n Techno!
 
Popote pale utakapomuona katika sherehe za kitaifa au anaposhiriki shughuli yo yote hapa nchini hukalia kiti hicho hicho au kinachofanana na kile akaliacho ikulu!

Najiuliza hivi kiti hicho ni kile kile cha ikulu au vilinunuliwa vingi na kusambazwa kila mkoa ili avitumie akiwa ziarani?! Hata bungeni majuzi akiwa na rais wa Msumbiji alikikalia!
 
....kila mahali kuna ikulu ndogo na vitu vyote vipo, that's what I know....
 
Wote wasome coment yak hii halafu wanyamaze.

Kwa hiyo hata akienda kwa shughuli zingine nje ya ikulu ya magogoni au ikulu hizo ndogo viti hivyo huhamishiwa huko aendako!! Kwani huko anakokwenda hakuna viti?!
 
Ha! Ha! Haaaa!!! kijana taratibu bhana ; kabla ya kuja ni bora ungewauliza wakubwa kwanza , nina hakika wangekupa ' neno ' na wala usingekuja hapa .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom