Kila meneja, mwigizaji, mwanamuziki wanataka Ubunge

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,033
Wakuu

Hawa jamaa anzia sijui mameneja, waigizaji, wanamuziki kiukweli kazi wanayofanya hailipi na wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa na ndio maana kila msanii japo sio wengi utaona hali halisi ya maisha wamepigika kweli kweli wanaishia kuishi kwa kujipendekeza kwa wanasiasa na kutafutia mademu watu wenye fedha.

Na hawa watu hawatakiwi kuendekezwa maana hawana mchango wowote kwenye ujenzi wa taifa hili maana wengi wao japo sio wote hata shule hawana ni tia maji tia maji.

NB:
Mtu kama Mwana FA aungwe mkono maana hata shule ipo lakini wasanii wengine kwakweli ambao elimu ni zero hawatakiwi kabisa kuingia kua watunga sera maana hata kutunga sera za maisha yao ni kazi sera za nchi wataweza wapi.?
 
Ndio mjue mambo magumu badob, msilazimishe mkawasifia fisi kumbe mioyoni mwenu hali ni tofauti, fanyeni mambadiliko acheni uoga
 
Hiyo sekta ni moja ya sekta zinachongia pakubwa kwenye ukuaji wa uchumi sio vizuri kuwadharau

Wanamapungufu yao ila serkali imedhamiria kuwekeza hasa ili kazi zao ziweze kuwanufaisha
 
Hiyo sekta ni moja ya sekta zinachongia pakubwa kwenye ukuaji wa uchumi sio vizuri kuwadharau

Wanamapungufu yao ila serkali imedhamiria kuwekeza hasa ili kazi zao ziweze kuwanufaisha

Waende watu wenye akili kama Mwana FA na sio mbugila wengine unadhani wote wana mchango? Stive nyerere ana mchango gani wa kodi kwa taifa? Pierre ana mchango gani lazima tufikie hatua tuelezane ukweli hawa sio wakuwachekea kabisa
 
Siwezi chagua msanii mimi.Halafu mimi kwenye kupiga kura naangalia wasifu wa mtu sijali ni ccm,cdm wala chama kingine.

Hongera sana maana hawa wanataka kutuletea fyokofyoko kwenye kujenga nchi wao waendelee kuimba nyimbo za kusifu vyama sio wawe viongozi hapana
 
Kila mtu anamchango wako na wewe mtu mmoja huwezi ukatuamulia huyu anamchango huyu hana

Wapiga kura wakita wanamchagua huyo piere wamuache unayemtaka wewe

Hii ni nchi ya kidemokrasia asitokee mjinga kama wewe ujione unaakili kuliko wengine
Waende watu wenye akili kama Mwana FA na sio mbugila wengine unadhani wote wana mchango? Stive nyerere ana mchango gani wa kodi kwa taifa? Pierre ana mchango gani lazima tufikie hatua tuelezane ukweli hawa sio wakuwachekea kabisa
 
Wakuu
Hawa jamaa anzia sijui mameneja, waigizaji, wanamuziki kiukweli kazi wanayofanya hailipi na wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa na ndio maana kila msanii japo sio wengi utaona hali halisi ya maisha wamepigika kweli kweli wanaishia kuishi kwa kujipendekeza kwa wanasiasa na kutafutia mademu watu wenye fedha.
Na hawa watu hawatakiwi kuendekezwa maana hawana mchango wowote kwenye ujenzi wa taifa hili maana wengi wao japo sio wote hata shule hawana ni tia maji tia maji.
NB:
Mtu kama Mwana FA aungwe mkono maana hata shule ipo lakini wasanii wengine kwakweli ambao elimu ni zero hawatakiwi kabisa kuingia kua watunga sera maana hata kutunga sera za maisha yao ni kazi sera za nchi wataweza wapi.?
Ila Binamu Gwiji, kampeni hazijaanza rasmi, wewe endelea kujipanga.
 
Wakuu
Hawa jamaa anzia sijui mameneja, waigizaji, wanamuziki kiukweli kazi wanayofanya hailipi na wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa na ndio maana kila msanii japo sio wengi utaona hali halisi ya maisha wamepigika kweli kweli wanaishia kuishi kwa kujipendekeza kwa wanasiasa na kutafutia mademu watu wenye fedha.
Na hawa watu hawatakiwi kuendekezwa maana hawana mchango wowote kwenye ujenzi wa taifa hili maana wengi wao japo sio wote hata shule hawana ni tia maji tia maji.
NB:
Mtu kama Mwana FA aungwe mkono maana hata shule ipo lakini wasanii wengine kwakweli ambao elimu ni zero hawatakiwi kabisa kuingia kua watunga sera maana hata kutunga sera za maisha yao ni kazi sera za nchi wataweza wapi.?
Acha kuwanyima watu kufikia ndoto zao.

Katiba inaruhusu hajavunja sheria yoyote. Hakuna sehemu inasema wanahitaji elimu kugombea hivyo vyeo.

Wewe inakuuma nini? Hivi vielimu tusivyovitumia ndivyo vitufanye kuwananga ambao hawakupata elimu. Mbona wengi wasio na elimu wamewaajiri hapa mijini.

Kama nawe unataka kagombee acha wivu.
 
Acha kuwanyima watu kufikia ndoto zao.

Katiba inaruhusu hajavunja sheria yoyote. Hakuna sehemu inasema wanahitaji elimu kugombea hivyo vyeo.

Wewe inakuuma nini? Hivi vielimu tusivyovitumia ndivyo vitufanye kuwananga ambao hawakupata elimu. Mbona wengi wasio na elimu wamewaajiri hapa mijini.

Kama nawe unataka kagombee acha wivu.

Mimi sina elimu lakini naheshimu wasomi maana wana nafasi kubwa kwenye maendeleo
 
Wangepunguza mishahara minono pamoja na marurupu ya wabunge. Hii ingepunguza idadi ya wagombea maana sasa hivi kila mtu anakimbilia ubunge kwa ajili ya maslahi binafsi
 
Wakuu

Hawa jamaa anzia sijui mameneja, waigizaji, wanamuziki kiukweli kazi wanayofanya hailipi na wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa na ndio maana kila msanii japo sio wengi utaona hali halisi ya maisha wamepigika kweli kweli wanaishia kuishi kwa kujipendekeza kwa wanasiasa na kutafutia mademu watu wenye fedha.

Na hawa watu hawatakiwi kuendekezwa maana hawana mchango wowote kwenye ujenzi wa taifa hili maana wengi wao japo sio wote hata shule hawana ni tia maji tia maji.

NB:
Mtu kama Mwana FA aungwe mkono maana hata shule ipo lakini wasanii wengine kwakweli ambao elimu ni zero hawatakiwi kabisa kuingia kua watunga sera maana hata kutunga sera za maisha yao ni kazi sera za nchi wataweza wapi.?
Kila Msukuma anataka cheo!!! Awamu hiii ndio tumewajua vizuri zamani tulikua tunasa wachaga ni wabinafsi lakini kumbe wasukuma ni shida !!!duuuu
 
Hiyo sekta ni moja ya sekta zinachongia pakubwa kwenye ukuaji wa uchumi sio vizuri kuwadharau

Wanamapungufu yao ila serkali imedhamiria kuwekeza hasa ili kazi zao ziweze kuwanufaisha
Kwenye pato LA. Taifa mziki na sinema imechangia kiasi gani!??
 
Back
Top Bottom