young solicitor
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,123
- 710
Nachukua fursa hii kuwapongezeni nyote Dr Mahiga na Prof Kabudi kwa kubadilishana majukumu.
Sina wasiwasi na Dr Mahiga kwenye wizara ya Sheria kwani hata Kombani rip na Mary Nagu waliimudu hii wizara japokuwa si wabobezi/ wataalamu wa sheria. Wewe ukiwa mwanasheria sina shaka yoyote.
Pia Prof Kabudi wewe unaaminika katika kujua mengi lakini zaidi ikiwa historia na sheria za ndoa. Sina shaka ubobezi wako katika historia utafanya majukumu yako kuwa mepesi.
Ombi langu kwako ni moja tu usimpuuze Tundu Antipas Lisu aliyeko ulaya ila usimtilie maanani. Usijibizane naye bali jukumu hilo waachie mabalozi kama alivyofanya Dr Mahiga maana wadhifa wako ni wa juu.
Jumapili njema
Maendeleo hayana vyama!
how do you say kabudi asimjibu lissu, na hadhi ipi unayoizungumzia??
under common wealth tradition lissu ni waziri kivuli likewise kabudi ni waziri wa serikali hawa watu hawakwepani