Kila la kheri John Justine Pambalu huko nchini Finland katika kukiwakilisha CHADEMA

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
FB_IMG_1541664843411.jpg


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Katibu Mkuu wa chama mheshimiwa Vincent Mashinji alimteua Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Babu Nyarembe Chadema (Bavicha) na Diwani wa kata ya Butimba John Pambalu Comrade kukiwakilisha chama katika mkutano mkuu wa vyama vya kidemokrasia duniani nchini Finland.

John Justine Pambalu ameambatana na kamanda Doricas Francis ambaye ni msaidizi katika ofisi ya Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa mheshimiwa Julius Gabriel Mwita.

Mheshimiwa John Justine Pambalu na Doricas Francis watashiriki vikao hivyo vya mkutano Mkuu wa vyama vya Kidemokrasia Duniani nchini Finland kwa siku nne (4) kuanzia leo tarehe 08/11/2018 mpaka tarehe 12/11/2018.

Nawatakia kila la kheri makamanda. Mkiwakilishe chama chetu vizuri ili tuweze kuvuna maarifa kutoka vyama vingine kutoka mabara yote duniani kupitia ninyi. Kila la kheri. Mungu awalinde na kuwapigania
 
View attachment 925886

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Katibu Mkuu wa chama mheshimiwa Vincent Mashinji alimteua Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Babu Nyarembe Chadema (Bavicha) na Diwani wa kata ya Butimba John Pambalu Comrade kukiwakilisha chama katika mkutano mkuu wa vyama vya kidemokrasia duniani nchini Finland.

John Justine Pambalu ameambatana na kamanda Doricas Francis ambaye ni msaidizi katika ofisi ya Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa mheshimiwa Julius Gabriel Mwita.

Mheshimiwa John Justine Pambalu na Doricas Francis watashiriki vikao hivyo vya mkutano Mkuu wa vyama vya Kidemokrasia Duniani nchini Finland kwa siku nne (4) kuanzia leo tarehe 08/11/2018 mpaka tarehe 12/11/2018.

Nawatakia kila la kheri makamanda. Mkiwakilishe chama chetu vizuri ili tuweze kuvuna maarifa kutoka vyama vingine kutoka mabara yote duniani kupitia ninyi. Kila la kheri. Mungu awalinde na kuwapigania
Bravo vijana wetu! Take notes of each event and make a comprehensive report back home!
Hivi na wale Inzi wanaenda? Watatia nuksi!
 
Naona Chadema mnaanza kufurahia kupokea mialiko ya kulipiwa.. mna bahati wasiichafue tu nchi yetu kutafuta kiki mbovu.. wataumbuka.. watuletee mrejesho wa kuendeleza mengi mazuri nchini..
Wa kulipiwa maana tunajua pesa za ruzuku wanazitumia wakuu wenu.
 
Hizi ndio kazi anazozimudu huyo Mashinji, hivi kuns siri gani kati ya Msshinji na Mbowe?

Maana tusiwaseme tu Jiwe na Bashite huku Mbowe anataka kuwa SG goigoi kama huyu Mashinji.
Mimi nadhani hiyo nafasi ya ukatibu mkuu anastahili John Heche au Wenje.
 
View attachment 925886

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Katibu Mkuu wa chama mheshimiwa Vincent Mashinji alimteua Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Babu Nyarembe Chadema (Bavicha) na Diwani wa kata ya Butimba John Pambalu Comrade kukiwakilisha chama katika mkutano mkuu wa vyama vya kidemokrasia duniani nchini Finland.

John Justine Pambalu ameambatana na kamanda Doricas Francis ambaye ni msaidizi katika ofisi ya Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa mheshimiwa Julius Gabriel Mwita.

Mheshimiwa John Justine Pambalu na Doricas Francis watashiriki vikao hivyo vya mkutano Mkuu wa vyama vya Kidemokrasia Duniani nchini Finland kwa siku nne (4) kuanzia leo tarehe 08/11/2018 mpaka tarehe 12/11/2018.

Nawatakia kila la kheri makamanda. Mkiwakilishe chama chetu vizuri ili tuweze kuvuna maarifa kutoka vyama vingine kutoka mabara yote duniani kupitia ninyi. Kila la kheri. Mungu awalinde na kuwapigania
Kila la Kheri chama makini kinajifunza kwa waliofanikiwa duniani, CCM inajifunza siasa kwa waliofeli, utasikia mifano yao ni P. Kagame, Y. Mseven, Zimbabwe, Namibia, Zambia, na wakati mwinginekwa Kàbila. Hatufiki popote waliofeli hawana kitu cha kujifunza na hizi ndio akili za mtu masikini.

Bravo vijana wa Bavicha.
 
View attachment 925886

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Katibu Mkuu wa chama mheshimiwa Vincent Mashinji alimteua Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Babu Nyarembe Chadema (Bavicha) na Diwani wa kata ya Butimba John Pambalu Comrade kukiwakilisha chama katika mkutano mkuu wa vyama vya kidemokrasia duniani nchini Finland.

John Justine Pambalu ameambatana na kamanda Doricas Francis ambaye ni msaidizi katika ofisi ya Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa mheshimiwa Julius Gabriel Mwita.

Mheshimiwa John Justine Pambalu na Doricas Francis watashiriki vikao hivyo vya mkutano Mkuu wa vyama vya Kidemokrasia Duniani nchini Finland kwa siku nne (4) kuanzia leo tarehe 08/11/2018 mpaka tarehe 12/11/2018.

Nawatakia kila la kheri makamanda. Mkiwakilishe chama chetu vizuri ili tuweze kuvuna maarifa kutoka vyama vingine kutoka mabara yote duniani kupitia ninyi. Kila la kheri. Mungu awalinde na kuwapigania
Asante kwa taarifa, nawatakia uwakilishi haswa kwa kuzingatia hawa ni vijana ili wakirudi waje kuleta mageuzi na kukibadili Chadema kuwa chama cha kidemokrasia ya kweli, kinyume na kilivyo sasa ni chama cha kidemokrasia jina tuu ila in reality ni kitu kingine kabisa
Rejea

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! - JamiiForums

P
 
Hizi ndio kazi anazozimudu huyo Mashinji, hivi kuns siri gani kati ya Msshinji na Mbowe?

Maana tusiwaseme tu Jiwe na Bashite huku Mbowe anataka kuwa SG goigoi kama huyu Mashinji.
Mimi nadhani hiyo nafasi ya ukatibu mkuu anastahili John Heche au Wenje.
You do not need to be vocal to be a Secretary general! Not at all! Unataka afanye nini katika U Idd Amin huu! kwenye risasi 38, kwenye matukio ya Mo Dewji, Abdul Nondo, Ben yuko wapi, Azory yuko wapi? Unataka afanye nini?
 
Asante kwa taarifa, nawatakia uwakilishi haswa kwa kuzingatia hawa ni vijana ili wakirudi waje kuleta mageuzi na kukibadili Chadema kuwa chama cha kidemokrasia ya kweli, kinyume na kilivyo sasa ni chama cha kidemokrasia jina tuu ila in reality ni kitu kingine kabisa
Rejea

P
Basi CCM ndiyo ya kidemokrasi! Is it Pascal? Post yako hii imenitoa matumaini kwako! Kabisa, nilikuwa nadhani ni utani kumbe you are serious na Ukuu wa wilaya! and such other favour from Presidaa!
 
Naona Chadema mnaanza kufurahia kupokea mialiko ya kulipiwa.. mna bahati wasiichafue tu nchi yetu kutafuta kiki mbovu.. wataumbuka.. watuletee mrejesho wa kuendeleza mengi mazuri nchini..
Wa kulipiwa maana tunajua pesa za ruzuku wanazitumia wakuu wenu.
We kibinti huna hata aibu
 
Hizi ndio kazi anazozimudu huyo Mashinji, hivi kuns siri gani kati ya Msshinji na Mbowe?

Maana tusiwaseme tu Jiwe na Bashite huku Mbowe anataka kuwa SG goigoi kama huyu Mashinji.
Mimi nadhani hiyo nafasi ya ukatibu mkuu anastahili John Heche au Wenje.
 
Basi CCM ndiyo ya kidemokrasi! Is it Pascal? Post yako hii imenitoa matumaini kwako! Kabisa, nilikuwa nadhani ni utani kumbe you are serious na Ukuu wa wilaya! and such other favour from Presidaa!
Hata Mkuu Retired, unaamini mimi natafuta udc?.
Kuhusu Chadema na udikiteta nisome hapa
CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! - JamiiForums

Na hapa
Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!" - JamiiForums
Na hapa
Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015! - JamiiForums

P
 
Safi.....mangi Hebu nipe nyagi take away
Nna swali hvi Vijana lumumba mnapataga trip kama hzi wanazopata Vijana cdm ?swali tu nmemuliza?

Ova
 
Asante sana nitasoma. Kawaida yangu kuna watu na wa envy! You are one of them! Lakini kuna msimamo wako muda mwingine unaniwekaga njia panda.As time goes on you are changing in a negative direction. Pascal, mimi naamini kwa hali ya siasa za tanzania kwa mtawala wa sasa huwezi kumlaumu mtu katika upinzani kuwa kaenda tenge. Nilishakuandikia kuwa naturally Waganda ni stubborn, wabishi and the like. Lakini Idd Amin alipoanza kuwaua kama sisimiz walitoweka na kukimbilia nje! Na hapa ni hivyo! Upinzania lazima uwe macho na wasaliti katika mazingira ya sasa. Sikatai, kuna weza kuwa hakuna demokrasia ya kweli CDM, lkn kwa sasa acha Mbowe asimame, vinginevyo , ukiweka mtu legelege, itabaki CCM peke yake. (mtu asiye legelege utampata wapi? wapo lakini wasitumie muda na resources kujadili replacement ya Mbowe katika utawala wa sasa..Idd Amin)
 
Sina shaka hapo namwanini JONH pambalu Diwani anaeniwakilisha vilivyo pale Mwanza jiji hongera dogo utafika mbali kisia
 
Asante sana nitasoma. Kawaida yangu kuna watu na wa envy! You are one of them! Lakini kuna msimamo wako muda mwingine unaniwekaga njia panda.As time goes on you are changing in a negative direction. Pascal, mimi naamini kwa hali ya siasa za tanzania kwa mtawala wa sasa huwezi kumlaumu mtu katika upinzani kuwa kaenda tenge. Nilishakuandikia kuwa naturally Waganda ni stubborn, wabishi and the like. Lakini Idd Amin alipoanza kuwaua kama sisimiz walitoweka na kukimbilia nje! Na hapa ni hivyo! Upinzania lazima uwe macho na wasaliti katika mazingira ya sasa. Sikatai, kuna weza kuwa hakuna demokrasia ya kweli CDM, lkn kwa sasa acha Mbowe asimame, vinginevyo , ukiweka mtu legelege, itabaki CCM peke yake. (mtu asiye legelege utampata wapi? wapo lakini wasitumie muda na resources kujadili replacement ya Mbowe katika utawala wa sasa..Idd Amin)
Mimi nimejiunga nao kumuombea
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! - JamiiForums
P
 
Back
Top Bottom