kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,918
Habar zenu wakuu moja kwa moja kwenye mada napenda kuwasilisha mada itakaye mugusa achukue hatua
Binafsi kabla sijasogeleana karibu na Mungu wa mbinguni ktk.maisha yangu kila leo changamoto zilikua aziishi nilipo amua kumsogelea karibu japo azikuisha kwa Mara moja lakin siku adi siku zilipungua mpka kufikia kuisha na zilizo baki zinatatulika kwa msaada wake kwa kumuomba anajibu.
Napenda kuwasihi ndugu zangu kwa imani yako ya kumuabudu Mungu simama wima usitange tange huku na huku Mara mitume na manabii uhusiano wa Mungu nawanadamu ni sawa na baba na mtoto sasa mahtaji yako kwa baba yako unamtuma mtu akuombee sio sawa tujifunze kumsogelea karibu Mungu na kumuuliza habar ya maisha yetu kumbuka duniani atukujileta wenyew yupo alietuleta ndio anapaswa kujua tule nin na tuvae nin!!!
Mwisho na Maliza na kusema hii mada sio ya watu wote kuna watu itawalenga km wew sio mlengwa tafadhali usituchafulie Uzi pita tu.
Binafsi kabla sijasogeleana karibu na Mungu wa mbinguni ktk.maisha yangu kila leo changamoto zilikua aziishi nilipo amua kumsogelea karibu japo azikuisha kwa Mara moja lakin siku adi siku zilipungua mpka kufikia kuisha na zilizo baki zinatatulika kwa msaada wake kwa kumuomba anajibu.
Napenda kuwasihi ndugu zangu kwa imani yako ya kumuabudu Mungu simama wima usitange tange huku na huku Mara mitume na manabii uhusiano wa Mungu nawanadamu ni sawa na baba na mtoto sasa mahtaji yako kwa baba yako unamtuma mtu akuombee sio sawa tujifunze kumsogelea karibu Mungu na kumuuliza habar ya maisha yetu kumbuka duniani atukujileta wenyew yupo alietuleta ndio anapaswa kujua tule nin na tuvae nin!!!
Mwisho na Maliza na kusema hii mada sio ya watu wote kuna watu itawalenga km wew sio mlengwa tafadhali usituchafulie Uzi pita tu.