Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Siku ya kwanza tu polisi ananiomba rushwa kisa gari halina reg number hajui nilikuwa natoka nalo bandarini......akaomba 2000
Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili
Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake
Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!
Narudi kzangu Zenj
Masa
Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili
Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake
Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!
Narudi kzangu Zenj
Masa