undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,011
1.Paka akiwa mnene na manyoya mengi ni paka wa kizungu lakini paka aliyekondeana mchafu ni paka wa kiswahili.
2.kuku anayewekwa mahali safi ,analindwa ni kuku wa kizungu ila wale wanaorandaranda majalalani ni wa kienyeji/wakiswahili.
3.Mtu akiwa anajali muda,msafi ana pesa utasikia watu wakimsifia yule jamaa mzungu sana hana longolongo kabisa hanaga uswahili kabisa.
4.lakini mtu muongo ,hajali muda ni mswahili,ah yule jamaa mswahili sana ,maneno mengi ,tapeli nk.
5.kwenye mabishano au mtu akisifiwa utasikia mimi sini mzungu sinaga uswahili uswahili (tapeli,tapeli ,muongo muongo ,hajali muda ) kama wewe.
6.sehemu patulivu ,kuna majumba mazuri panaitwa uzunguni na sehemu kwenye nyumba za hali ya kawaida panaitwa uswahilini mfano mbeya sokomatola panaitwa uswahilini na kuna sehemu panaitwa uzunguni huko kuna ofisi za mkuu wa mkoa ,majumba mazuri nk
**Yule kubenea ana uswahili uswahili sana .
Nakumbuka kuna dada mmoja alitoka kufanya mtihani sasa wakati wa kuhadithiana maswali na majibu akasema moja ya swali waliloulizwa ni mswahili ni nani sasa kujibu kwake akasema mswahili ni mtu mbeya dah nilicheka na kusikitika .
Tusiwalaumu wazungu wakitubagua na kutushusha sisi wenyewe tunajidharau na kujishusha.
2.kuku anayewekwa mahali safi ,analindwa ni kuku wa kizungu ila wale wanaorandaranda majalalani ni wa kienyeji/wakiswahili.
3.Mtu akiwa anajali muda,msafi ana pesa utasikia watu wakimsifia yule jamaa mzungu sana hana longolongo kabisa hanaga uswahili kabisa.
4.lakini mtu muongo ,hajali muda ni mswahili,ah yule jamaa mswahili sana ,maneno mengi ,tapeli nk.
5.kwenye mabishano au mtu akisifiwa utasikia mimi sini mzungu sinaga uswahili uswahili (tapeli,tapeli ,muongo muongo ,hajali muda ) kama wewe.
6.sehemu patulivu ,kuna majumba mazuri panaitwa uzunguni na sehemu kwenye nyumba za hali ya kawaida panaitwa uswahilini mfano mbeya sokomatola panaitwa uswahilini na kuna sehemu panaitwa uzunguni huko kuna ofisi za mkuu wa mkoa ,majumba mazuri nk
**Yule kubenea ana uswahili uswahili sana .
Nakumbuka kuna dada mmoja alitoka kufanya mtihani sasa wakati wa kuhadithiana maswali na majibu akasema moja ya swali waliloulizwa ni mswahili ni nani sasa kujibu kwake akasema mswahili ni mtu mbeya dah nilicheka na kusikitika .
Tusiwalaumu wazungu wakitubagua na kutushusha sisi wenyewe tunajidharau na kujishusha.