justine lowasa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 727
- 794
MUONGOOO"MUHONGO"
MUONGOOO"MUHONGO"
Unajua kutumia Petition inasaidia kuwaambia wazi viongozi/wafanya maamuzi kuwa wananchi (tena kwa idadi yao) hawapendezwi na hatua iliyochukuliwa.Mkuu hebu shauri wapi pa kuanzia kuhusu hili maana ni dhahiri wananchi hawakubaliani na hili hasa ukizingatia waziri aliapa kwamba bei ya umeme haitapanda na serekali ilisema gas ikianza kutumika tu umeme utashuka bei. Nadhani mchana ulisema petition inafaa. Hebu toa mwongozo tuanzie wapi.
wallah naungana na LEMA andaeni vichinjio uchaguzi mkuu wa mamabadiliko umekaribia
Na ndii kwanza ana mwakaJAMAA NCHI IMESHAMSHINDA KABISA
Mkuu sijawahi kuichagua ccmutakumbuka tu kura yako!
Na ndio hivo tena tunalipa mkuu,watanzania bado hatujaamua kuwa wamojaView attachment 452181
Hakuna kitu kinaniuma kama watanzania kuwalipa matapeli ya IPTL kupitia Tanesco.
This is unfair na Rais akijipambanua nimchukia ufisadi..........
Nchi ya kusadikika hii mkuuUnavyopandisha bei ya umeme humkomoi mwenye kiwanda mana na yeye atapandisha bei ya bidhaaa yake kufidia ongezeko la operational cost na mwananchi anaathirika direct. Tuliambiwa kodi kwenye vocha,mobile money transactions,banks transactions hazitamgusa mwananchi lakini leo zigo lote lipo kwa mwananchi. Maisha yanazidi kuwa magumu siku hadi siku. Serikali badala ya kudeal na haya wanamkomalia faru john. Tuna safari ndefu sana.
Haah huku nchi inanyooshwa ,mafisadi wanatumbuliwa,huku vitu vinazidi kupaa bei,patamu hapoBado tunanyoosha nchi,kwa maslahi mapana ya taifa letu.Hahah
Si mliambiwa msitarajie tena ushindi hivi karibuni au mmesahauwallah naungana na LEMA andaeni vichinjio uchaguzi mkuu wa mamabadiliko umekaribia
Hahah wao hawajui hayo mkuu,as long as mnyoosho unaendelea mpk 2020 hapo.Haah huku nchi inanyooshwa ,mafisadi wanatumbuliwa,huku vitu vinazidi kupaa bei,patamu hapo
Unajua kutumia Petition inasaidia kuwaambia wazi viongozi/wafanya maamuzi kuwa wananchi (tena kwa idadi yao) hawapendezwi na hatua iliyochukuliwa.
Mwanzoni viongozi wanaweza wakadharau tu lakini jinsi watu wengi zaidi wanavyozidi ku-sign Petition itasaidia kuleta "attention" kwa jamii na kuona kweli hili jambo linagusa wananchi wengi na si kikundi tu cha watu wachache.
Kule umasaini niliona Petition ikitumika kushinikiza serikali ya Tz kuacha kuziondoa community za kimasai kwenye maeneo serikali iliyotaka kuwauzia wawekezaji. Na hii issue ilifanikiwa.......mimi pia nili-sign Petition.
Mkuu watu kama Avaaz.com huwa haiishii tu watu ku-sign Petition. Wanaowatu wao wenyeushawishi wanawatumia kufikisha ujumbe kwa serikali au shirika kuhusu wananchi wanachodai. Na kama idadi ya signature ni kubwa basi serikali kamwe haitoweza kupuuza.
Hapa kinachotakiwa ni umoja tu