kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Habari wanajamii
Ni wazo ambalo limenijia baada ya kuona vilio vya watanzania wengi wanaotafuta ajira kua ajira nyingi sana zinatangazwa kwenye magazeti au sehemu zinginezo ni za kuzuga tu, kwani watu wanakua tayari wameishaanza kazi au wengine wanakua wameishaandaliwa
Mawazo yangu ni kwamba kama kweli hawa watu wa PCCB wanafanya kazi zao kwa moyo kama ambavyo watanzania wengi tunaamini basi kila zinapotangazwa nafasi za kazi nao pia wawemo katika mchakato mzima tokea pale wanapochagua watu waa kuingia kwenye usail na hadi mtu anapochaguliwa kuanza kazi. Hii nadhani labda ingepunguza malalmiko ya watanzania wengi. Natoa msisitizo kama kweli hawa jamaa wa PCCB wapo committed na kazi hilo linawezekana
Ni wazo ambalo limenijia baada ya kuona vilio vya watanzania wengi wanaotafuta ajira kua ajira nyingi sana zinatangazwa kwenye magazeti au sehemu zinginezo ni za kuzuga tu, kwani watu wanakua tayari wameishaanza kazi au wengine wanakua wameishaandaliwa
Mawazo yangu ni kwamba kama kweli hawa watu wa PCCB wanafanya kazi zao kwa moyo kama ambavyo watanzania wengi tunaamini basi kila zinapotangazwa nafasi za kazi nao pia wawemo katika mchakato mzima tokea pale wanapochagua watu waa kuingia kwenye usail na hadi mtu anapochaguliwa kuanza kazi. Hii nadhani labda ingepunguza malalmiko ya watanzania wengi. Natoa msisitizo kama kweli hawa jamaa wa PCCB wapo committed na kazi hilo linawezekana