Kila atakayeifunga Simba kusajiliwa?

Unajua Sarpong ilikuwa aende Simba na hata media za Rwanda zikaripoti hivyo? Simba wakalegea kidogo ili Yanga wamgombanie, na iwe platform nzuri ya Simba kumuona kama anafaa. Sasa tumeona hatufai, tunaangalia wengine kama wapo wapo
 
Unajua Sarpong ilikuwa aende Simba na hata media za Rwanda zikaripoti hivyo? Simba wakalegea kidogo ili Yanga wamgombanie, na iwe platform nzuri ya Simba kumuona kama anafaa. Sasa tumeona hatufai, tunaangalia wengine kama wapo wapo
Unataka kusema Yanga ni ''feeder club'' ya Simba ?
WanaSimba ni wajeuri sana
 
Unataka kusema Yanga ni ''feeder club'' ya Simba ?
WanaSimba ni wajeuri sana
Mi nashangaa Yanga wa humu wanaipangia Simba mtu wa kusajili. Hata Morrison mwenyewe mimi sijutii kusajiliwa Simba maana licha ya kuleta mchango hafifu sana kwa Simba, lakini ameidisturb kwa kiwango kikubwa Yanga, nayo inasaidia kudhoofisha mpinzani wako wa karibu. Tusipangiane, tunabeba tunayedhani anatufaa, na tutamuacha tukipenda!
 
Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO ya Angola mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .

Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
UD SONGO ya nchumbiji mkuu...
 
Hebu weka ushahidi wa kikanuni kusapoti hii hoja yako tafadhali.

Ninachojua kanuni za CAF kwa mashindano ya champions league ya msimu huu zinaruhusu mchezaji aliyecheza timu A katika mashindano hayo kuhamia timu B na kuichezea.

Ukiweka kipengele kinachokataza hili, ambacho uongozi wa Simba haukijui na hata wakamsajili ''mdaawa'' Chikwende, utakua umenisaidia sana.
Hii imeandikwa wapi mkuu
 
Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .

Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Lile goli uliliona lakini au ulikuwa unacheza baikoko?
 
Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .

Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Kwani wewe umeajiriwa kuja JF kupinga pinga kila jambo linalofanywa na SIMBA, simba siyo Siasa ulizozoea kupingapinga. Hapa JF una Nyuzi kibaooooo zote Unapinga kila kinachoendelea ndani ya Simba, kama inakuuuma nenda Klabuni uongee nao siyo kila jambo kuwekwa mitandaoni. Huenda hata kadi ya Klabu hunaaa kazi ni kutunisha misuli tu.
 
Tumefungwa goli karibia tano ndani ya ligi kuu, niambie wamesajiliwa wangapi katika walio tufunga...
 
Back
Top Bottom