Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,450
Wapo majaribioni Yanga wote hao, wakifuzu Simba tunawachukuaBado NTIBAYONKINZA ile penati yake ya mwisho.
Wapo majaribioni Yanga wote hao, wakifuzu Simba tunawachukuaBado NTIBAYONKINZA ile penati yake ya mwisho.
Unataka kusema Yanga ni ''feeder club'' ya Simba ?Unajua Sarpong ilikuwa aende Simba na hata media za Rwanda zikaripoti hivyo? Simba wakalegea kidogo ili Yanga wamgombanie, na iwe platform nzuri ya Simba kumuona kama anafaa. Sasa tumeona hatufai, tunaangalia wengine kama wapo wapo
Mi nashangaa Yanga wa humu wanaipangia Simba mtu wa kusajili. Hata Morrison mwenyewe mimi sijutii kusajiliwa Simba maana licha ya kuleta mchango hafifu sana kwa Simba, lakini ameidisturb kwa kiwango kikubwa Yanga, nayo inasaidia kudhoofisha mpinzani wako wa karibu. Tusipangiane, tunabeba tunayedhani anatufaa, na tutamuacha tukipenda!Unataka kusema Yanga ni ''feeder club'' ya Simba ?
WanaSimba ni wajeuri sana
UD SONGO ya nchumbiji mkuu...Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO ya Angola mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .
Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Hii imeandikwa wapi mkuuHebu weka ushahidi wa kikanuni kusapoti hii hoja yako tafadhali.
Ninachojua kanuni za CAF kwa mashindano ya champions league ya msimu huu zinaruhusu mchezaji aliyecheza timu A katika mashindano hayo kuhamia timu B na kuichezea.
Ukiweka kipengele kinachokataza hili, ambacho uongozi wa Simba haukijui na hata wakamsajili ''mdaawa'' Chikwende, utakua umenisaidia sana.
Tuwekee hapa kifungu kinachoruhusu mkuupunguzeni ujuaji basi bora hata uwe unajua maana hujui ,kanuni za Caf zinaruhusu simba wako group stage
Ngoja tunapita nae uto hawana hela ya kumlipa mshaharaBado NTIBAYONKINZA ile penati yake ya mwisho.
Lile goli uliliona lakini au ulikuwa unacheza baikoko?Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .
Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Bila kusahau usajili na mbwembwe za mapokezi ya huyu mcheza kibaokataUsajili wa mihemko kama ule wa morison,saizi wanataka kumtema wanamsingizia ugonjwa!
Kwani wewe umeajiriwa kuja JF kupinga pinga kila jambo linalofanywa na SIMBA, simba siyo Siasa ulizozoea kupingapinga. Hapa JF una Nyuzi kibaooooo zote Unapinga kila kinachoendelea ndani ya Simba, kama inakuuuma nenda Klabuni uongee nao siyo kila jambo kuwekwa mitandaoni. Huenda hata kadi ya Klabu hunaaa kazi ni kutunisha misuli tu.Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .
Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Halafu wanasajili mtu asiye na vigezo vya kucheza champions leage, sijui wa nini
kwani tunacheza Champions peke yake akili zako umehonga nini?Halafu wanasajili mtu asiye na vigezo vya kucheza champions leage, sijui wa nini
Mbumbumbu fc aka utelembwe