yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
TANGU Ngasa *aondoke yanga kumekuwa na tabia ya wanamichezo wanasiasa kumhusisha ngasa na club ya yanga.Tanu akiwa azam hayo hayo,ngasa asipoonekana,kafichwa na yanga.timu yake ikifungwa na yy asipofunga ,wanakwambia anatumika na yanga kuhujumu,leo hii wajinga wankwambia eti yanga ndo wamemzuia asiende elmerekh ..acheni hizo..yanga ni yanga ngasa ni ngasa:mimba: