Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Hili wala hatutaki kukificha kwa sababu kila siku tukiwakumbuka ndugu zetu hawa tunabubujikwa machozi yaliyojaa maumivu makali na huenda hata damu hutokea kwenye machozi haya. Tunajua waliohusika na kuwapoteza hawa watu ni wanadamu na wala si wanyama, Laana ya mwenyezi Mungu iwatafune milele na ikiwezekana Mungu awape adhabu kali humu duniani na akhera, apukutishe pamoja na vizazi vyao.
Kila mtu ukikaa unajiuliza kosa la la Ben na Azory ni lipi kiasi cha kuwatowesha kabisa wakaacha familia zao? Kwani sheria za nchi hazipo mpaka kuwatowesha? Bado narudia kwa maumivu makali tena ikiwa wote Azory na Ben familia zao nimebahatika kuzitembelea zinatia huruma na unaweza kuzungumza na wazazi wa hao vijana ukajikuta unalia uwenyewe,Laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie mafedhuli wote waliohusika na kutoweka kwa vijana wote, ikiwezekana wapoteze na wao na familia zao.
Uwe kaburini,uwe duniani Mungu akuadhibu kwa matendo haya na tena ulaaniwe. Hatuwezi kubaki kulia kila siku kwa sababu ya mafedhuli machache ambayo na yenyewe ni mizigo ya kesho kama si leo.
Kila mtu ukikaa unajiuliza kosa la la Ben na Azory ni lipi kiasi cha kuwatowesha kabisa wakaacha familia zao? Kwani sheria za nchi hazipo mpaka kuwatowesha? Bado narudia kwa maumivu makali tena ikiwa wote Azory na Ben familia zao nimebahatika kuzitembelea zinatia huruma na unaweza kuzungumza na wazazi wa hao vijana ukajikuta unalia uwenyewe,Laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie mafedhuli wote waliohusika na kutoweka kwa vijana wote, ikiwezekana wapoteze na wao na familia zao.
Uwe kaburini,uwe duniani Mungu akuadhibu kwa matendo haya na tena ulaaniwe. Hatuwezi kubaki kulia kila siku kwa sababu ya mafedhuli machache ambayo na yenyewe ni mizigo ya kesho kama si leo.