Kila akija wa kike nifanye nini na hamu na wakiumme

masanzu

JF-Expert Member
May 6, 2013
605
216
HBR wanajf naomba kujuwa ni wakati gani mtoto wa kiume anapatikana maana nimekuwa nikibahatika kupata watoto wa kike tu
 
HBR wanajf naomba kujuwa ni wakati gani mtoto wa kiume anapatikana maana nimekuwa nikibahatika kupata watoto wa kike tu
Inatakikana ujuwe ni sikugani kila mwezi anapata siku zake mke wako? Ndio utaweza kumpa mimba atazaa mtoto wa kiume Kwa Mfno ( Mimba inaingia siku ya 12 hadi 15 toka siku ya kwanza ya hedhi.

Mfano mwanamke anaingia kwenye hedhi tarehe 3 may basi huyu atashika mimba tarehe 15may hadi tarehe 18may maana tarehe 15may ni siku yake ya 12.


Sasa basi ukitaka mtoto wa kike basi tembea na mkeo tarehe 14may siku ya 11 ambayo kwa kawaida sio siku ya mzunguko ya kupata mimba.

Mbegu za watoto wa kike zinachelewa kufa ndani ya uke.

Mbegu zinazoleta mtoto wa kike hufa ndani ya uke baada ya masaa 24 lakini mbegu zinazoleta mtoto wa kiume hufa baada yamasaa 4 na zina nguvu kwelikweli maana ukipiga bao moja linatosha kuzalisha .baada ya muda huo bao hilo halizalishi maana nguvu yake inakuwa imeisha.

Kwa kifupi kuna vitu vingi vinavyoungana kwa pamoja .Kuna kunawa baada ya tendo.

Mwanamke asinawe kabisa maji ya baridi maana ataathiri mwendo wa mbegu hizo.

Akilazimika kunawa basi yawe maji ya moto. Jaribu njia hii utafanikiwa kumpata mtoto unaemtaka..cc.@
masanzu


Burudika na mkeo masaa 12 kabla ya ovulation. Inabidi ujue tarehe kamili yai linapotoka.

Vile vile usiwe unapenda kuburudika mara kwa mara na mkeo, inabidi kulenga siku ile ya ovulation.
Ukifanya hivi lazima atatokea baby boy.
 
la msingi ni kujua mzunguko wa hedhi wa mkeo kama ni ule wa siku 28 ni rahisi kutegea kutoka kwa yai.. tangu siku ya 11 mpk 18 hapo yai la weza kutoka na zaidi uwe unapima ute kwenye sehemu za mkeo, siku hii ute huwa wa kutosha na mwanamke mwenyewe pia huwa na hamu zaidi ya kukutana na mumewe kwa kipindi hiki,hata yeye nadhani anaweza kukusadia hilo. kwa kuwa mbegu za kuzalisha mtoto wa kiume zipo fast ni na huwahi kufika kukutana na yai, ukiweza kutegea ovulation utaweza kupata. Pia maandalizi ya chakula kwa kipindi hiki ni yakuzingatia unaweza kugoogle hapo ukaona, na pia unaweza kupumzika kukutana nae kwa mda kabla ya hilo tendo na haimaanishi ukapige nje maana utazitoa, mantiki nikuzipa afya na kuzilinda ili kufikia malengo, kama mna nia wote wawili mnaweza kufanikiwa. nilijaribu hayo na nikafanikiwa. jaribu na wewe.
 
mndeewake.kwani ukisema kujaribu unakuwa hauna uhakika mkuu
 
MziziMkavu elezea na mimi bana
bleed imeanza tar 16 may -19 may
saidia mkuu!!Y
Hesabu siku ya 11 -15 toka uanze bleed mfano kama hiyo Tarehe 16+11=27 kuanzia tarehe 27 au 28 au 29 angeweza kushika mimba angalia huu mwezi kisha uongeze na siku 11 mbele baada ya siku ya 11 unaweza kumpatia mimba jaribu hivyo kisha unipe Feedback.
 
Hesabu siku ya 11 -15 toka uanze bleed mfano kama hiyo Tarehe 16+11=27 kuanzia tarehe 27 au 28 au 29 angeweza kushika mimba angalia huu mwezi kisha uongeze na siku 11 mbele baada ya siku ya 11 unaweza kumpatia mimba jaribu hivyo kisha unipe Feedback.

mkuu Mzizi Nakupata vzuri,kuongeza siku 11 kutoka tar16 ni hesabu rahisi.,
sasa naomba useme kua wa kike unaongeza ngap,na wa kiume unaongeza siku ngapi!,samahan km utaonana unarudiarudia,ila hii yote ni kutupa weledi zaidi. Asante
 
Njoo tu kwangu/kwetu!!!

Sisi tumezaliwa watoto 5 wa kiume.. na tuna watoto 21. Kati ya hawa 20 ni wa kiume na mmoja tu wa Kike!

Tunatafuta sana watoto wa kike mimi na kaka zanngu muda mrefu hatujapa!
 
mkuu Mzizi Nakupata vzuri,kuongeza siku 11 kutoka tar16 ni hesabu rahisi.,
sasa naomba useme kua wa kike unaongeza ngap,na wa kiume unaongeza siku ngapi!,samahan km utaonana unarudiarudia,ila hii yote ni kutupa weledi zaidi. Asante

wapi Mkuu Mziz Mkavu,karibu tena
 
Somo zuri,limeeleweka ni kukazia maarifa.Mzizi mkavu akija atujuze na hali ya ute kwa kipindi hicho kwa mwanamke unakuwaje?
 
la msingi ni kujua mzunguko wa hedhi wa mkeo kama ni ule wa siku 28 ni rahisi kutegea kutoka kwa yai.. tangu siku ya 11 mpk 18 hapo yai la weza kutoka na zaidi uwe unapima ute kwenye sehemu za mkeo, siku hii ute huwa wa kutosha na mwanamke mwenyewe pia huwa na hamu zaidi ya kukutana na mumewe kwa kipindi hiki,hata yeye nadhani anaweza kukusadia hilo. kwa kuwa mbegu za kuzalisha mtoto wa kiume zipo fast ni na huwahi kufika kukutana na yai, ukiweza kutegea ovulation utaweza kupata. Pia maandalizi ya chakula kwa kipindi hiki ni yakuzingatia unaweza kugoogle hapo ukaona, na pia unaweza kupumzika kukutana nae kwa mda kabla ya hilo tendo na haimaanishi ukapige nje maana utazitoa, mantiki nikuzipa afya na kuzilinda ili kufikia malengo, kama mna nia wote wawili mnaweza kufanikiwa. nilijaribu hayo na nikafanikiwa. jaribu na wewe.

Ndugu zangu, kuna rafiki anaomba msaada, mkewe anatatizo la kaifya, due to Aids, lkn wangependa wazae mtoto, je wafany nini ili mume asiambukizwe?
 
Gody mbna kama jina lako ni la ki.ume? Si tunahitaj msaada wa mkuu Mzizi Mkavu,au we ni nan yake?
 
Ndugu zangu, kuna rafiki anaomba msaada, mkewe anatatizo la kaifya, due to Aids, lkn wangependa wazae mtoto, je wafany nini ili mume asiambukizwe?

nadhani wakienda kwa wataalamu wa mambo ya ukimwi na siku hizi ni wengi, madaktari waliojifunza hilo, watawashauri vizuri tu wanaweza fanikiwa hilo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom