Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Naombeni ushauri wakuu
Shemeji yenu kila nikiwa nae kwenye mtanange namchavanga akifika kileleni lazima aning'ate, sasa sijui kwamba ndio anakuwa na hisia kali zaidi au inakuaje.
Nakumbuka juzi Jumapili wakati tunaenjoy, alipofika tuu katika kilele cha milima ya usambara alining'ata sikio mpaka sasa nina jera hapa.
Atakua ana matatizo gani ? Au ana mashetani ??
Shemeji yenu kila nikiwa nae kwenye mtanange namchavanga akifika kileleni lazima aning'ate, sasa sijui kwamba ndio anakuwa na hisia kali zaidi au inakuaje.
Nakumbuka juzi Jumapili wakati tunaenjoy, alipofika tuu katika kilele cha milima ya usambara alining'ata sikio mpaka sasa nina jera hapa.
Atakua ana matatizo gani ? Au ana mashetani ??