sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Mwenye kuskia na asikie kauli hii, anae subilia aambiwa usiende kwenye misongamano utakufa, kama anajua hasipoambiwa hafi, nenda mwana kwenda.
hatuitaji kuambiwa tujifungue ndani huu ni ujinga mkubwa sanaaa siitaji kuilamu serikali kisa haijanifungia nikifa sifi na serikali sizikwi na serikali sasa naisubili ili iweje shubamit na atokae nje afe tu.
hatuitaji kuambiwa tujifungue ndani huu ni ujinga mkubwa sanaaa siitaji kuilamu serikali kisa haijanifungia nikifa sifi na serikali sizikwi na serikali sasa naisubili ili iweje shubamit na atokae nje afe tu.