Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 31
BowBow,
Ni kosa la nani? Wahindi wakilipa below minimum wage wanalindwa na nani? Wanalindwa na viongozi waliochaguliwa na wananchi wa Tanzania. Hapo ndipo shida ilipo. Ili mradi kiongozi A kajengewa nyumba na Patel utasikia hizi kauli: "afadhali kuchimba madini kuliko kulima." Hilo lilishatamkwa na kiongozi mmoja wa awamu ya nne.
JSS
Kwa nini tena wanalalaika pale serikali hiyo hiyo ilipopandisha mishahara ya wafanyakazi? Labda ndio wamezinduka usingizini sijui