Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna haja ya kufuta usemi., wao (Wapemba) ni watu wa ajabu ajabu tu. Na Waachane na ile simu- na Tumpe sefu-. Wanahitaji waangalie nini maendeleo yao -sasa -wawe macho ndugu zetu hawa (Wapemba)What do you mean by that? Una maana Wapemba ndio mbumbumbu? wanaohitaji kudharauliwa? au waliozoea kudanganywa? Hapa mzee hukuwatendea haki wenzetu na ipo haja ya kufuta usemi wako.
Ngerkewa SMZ ni sehemu ya Jamhuri ya Muunganoiwa Tanzania (SMT). Unaelewa hivyo?JAMANI HUYU BWANA NI RAIS WA TANZANIA SASA HUO MRADI SERIKALI YAKE IMETOWA KIASI GANI?
Ajabu rasilimali za baharini zte ni mali ya muungano lakini nchi inajengwa na SMZ na wahisani au sio taswira tunayopewa hapa?
What do u mean by utawala wao? Kwani hivi sasa hawajitawali? Si wana wabunge wamechagua wakina Hamad Rashid . Si wana wawakilishi wakina Abubakar. Au unataka lazima Sefu awe Rais ndio useme kuna utawala wao?Ajabu ameenda kuisifia misaada wakati alitakiwa atoe tathmini ya serikali imekifanyia nini kisiwa cha Pemba,hivi hashangai nchi ya Pemba haina hata kiwanda wakazi wake wanaokaribia milioni hajui wapi wanapata feza ya kuwaendeshea maisha,wakati matibabu kwa fedha,elimu kwa fedha na kila kitu kwa fedha umeme wa jenereta kama hakuna umeme hakuna maji.Barabara hizo za pemba ambazo hazizidi hata kilomita 40 zinajengwa na serikali za CCM tokea nchi zipate uhuru mpaka leo bado kila Raisi anakwenda kukagua barabara hizo,Waziri nae anakagua barabara hizo hizo.
Ujinga mliokuwa mnadhania wanao Wapemba jueni kwamba umeshawatoka sasa wanapigania utawala wao na Mkapa nae anapelekwa kwenye mahakama ya kimataifa taratibu zipo mbioni. Mpaka kieleweke.
b Wafuasi wa CUF ndio wanaojisahau- Inabidi waelewe kuwa Kikwete ni Rais wao.Nadhni huwa anajisahau kwamba yeye ni raisi wa watu wote hata hao CUF
Akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa barabara ya lami kati ya Mkoani na Makombeni katika mkoa huo wa Kusini Pemba, Rais Kikwete aliendeleza somo lake kwa wapinzani akisema:
"Ndugu wananchi, msije kudanganywa. Kazi ya maendeleo haiko mikononi mwa mbunge ama mwakilishi. Hii ni kazi na dhamana ya serikali zote mbili ya SMZ na Muungano. Mbunge hawezi kujenga barabara ya lami. Sisi ndio wenye dhamana kwa waliotuchagua na hata wale ambao hawakutuchagua.
"Tutofautishe kipindi cha uchaguzi na kipindi cha maendeleo. Tutambue kuwa siasa za uchaguzi ni siasa za uchaguzi, baada ya hapo mleta maendeleo ni serikali. Na hata baadhi ya watu wakinuna wakati tukipita, lakini ukweli ni kwamba serikali tunayo sisi. Anayewaongopea vinginevyo, mwambie hivyo sivyo.
Hamna haja ya kufuta usemi., wao (Wapemba) ni watu wa ajabu ajabu tu. Na Waachane na ile simu- na Tumpe sefu-. Wanahitaji waangalie nini maendeleo yao -sasa -wawe macho ndugu zetu hawa (Wapemba)
.
Ngerkewa SMZ ni sehemu ya Jamhuri ya Muunganoiwa Tanzania (SMT). Unaelewa hivyo?
b Wafuasi wa CUF ndio wanaojisahau- Inabidi waelewe kuwa Kikwete ni Rais wao.
kuna uwezekano mkubwa wewe ndie Hopeless
Kikwete awasuta wanaomshutumu kusafiri nje
Mgaya Kingoba, Pemba
Daily News; Wednesday,January 21, 2009 @20:21
Wapo watu wanaosema kwenda nje tunapoteza muda, kwamba huko kwingine hakutuhusu kunatuhusu sana. Maendeleo yana sura mbili, moja ni nguvu za wananchi na nyingine ni misaada ya kuchangia maendeleo yetu, alisema Rais.
Sasa ili kupata misaada hiyo ya maendeleo ni lazima utoke na ukutane na wahisani hao sehemu mbalimbali, alisema Rais Kikwete jana wakati akizindua tangi la maji katika Shehia ya Kengeja katika Wilaya ya Mkoani katika Mkoa wa Kusini Pemba, ambalo limejengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Japan.
Japan hapa hajileti mwenyewe Japan anawajua ninyi? Anawahusu nini? Japan anakuja hapa mpaka awepo mtu wa kuwatambulisha, ndio maana tumepata msaada huu. Ndiyo maana mwaka jana nilikwenda katika mkutano wa ushirikiano wa Japan na Afrika unaoitwa TICAD.
Hebu soma tena kabla ya kumaka makaWhat do you mean by that? Una maana Wapemba ndio mbumbumbu? wanaohitaji kudharauliwa? au waliozoea kudanganywa? Hapa mzee hukuwatendea haki wenzetu na ipo haja ya kufuta usemi wako.
kuna uwezekano mkubwa wewe ndie Hopeless
^^Mwenye macho aambiwi tazama...
Naam, habari ndio hiyoKatika hatua nyingine aliwaonya wale wanaochezea mapinduzi na kwamba kama
hawajitaki au hawajipendi basi wachezee mapinduzi, waone kama hawatashughulikiwa.
"Tuliahidi kuyalinda mapinduzi jee tumeyalinda au hatukuyalinda, kuna mtu
aliothubutu kuyachezea, Kama kuna mtu hajipendi achezee, kama kuna mtu hajitaki
achezee nasema mtu acheze na yote lakini sio mapinduzi," alisema.
Rais Kikwete alisema kuchezea mapinduzi ni sawa na kurejesha utumwa katika
visiwa vya Zanzibar na kwamba wana CCM lazima wayalinde na kuyaenzi na kwamba
hakuna yeyote atakayethubutu kuyachezea bila ya kuchukuliwa hatua.