DeepPond JF-Expert Member Nov 18, 2017 40,458 99,095 Feb 20, 2021 #1 Nmeangalia hii picha kwa makini. Nikaukumbuka Ule msemo wake maarufu Raisi wetu mstaafu J.M.KIKWETE "Za kuambiwa, changanya na Zako"
Nmeangalia hii picha kwa makini. Nikaukumbuka Ule msemo wake maarufu Raisi wetu mstaafu J.M.KIKWETE "Za kuambiwa, changanya na Zako"
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Oct 28, 2020 9,878 19,794 Feb 20, 2021 #2 Suti ya Jaji Mkuu imepigwa pasi ikanyooka ile hataree. Ikipanda, ni balaa Ikishuka ndiyo hatari Inaweza waletea wengine mibalaaaa
Suti ya Jaji Mkuu imepigwa pasi ikanyooka ile hataree. Ikipanda, ni balaa Ikishuka ndiyo hatari Inaweza waletea wengine mibalaaaa
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Feb 20, 2021 #3 DeepPond said: Nmeangalia hii picha kwa makini. Nikaukumbuka Ule msemo wake maarufu Raisi wetu mstaafu J.M.KIKWETE "Za kuambiwa, changanya na Zako"View attachment 1707163 Click to expand... Kila mtu kimpango wake kusubiri mkuu atoe tamko ni ujinga
DeepPond said: Nmeangalia hii picha kwa makini. Nikaukumbuka Ule msemo wake maarufu Raisi wetu mstaafu J.M.KIKWETE "Za kuambiwa, changanya na Zako"View attachment 1707163 Click to expand... Kila mtu kimpango wake kusubiri mkuu atoe tamko ni ujinga