Kikwete na viongozi wa Afrika hatimae wameenda kumzungumzia Gbgbo wa Ivory Coast. Raisi aliejipatia ushindi kupitia Tume ya Uongo kama hiyo ya Kikwete. Kikwete na wenzie kama Mugabe na Museven na pia Gaddafi wote wapo Addis Ababa, Ethiopia kutatua swala la Gbagbo na imeonekana mpaka sasa kuna mgawanyiko ndani ya Africa Union. Hivi Maraisi fake wa Africa kwanini wasijiondoe madarakani mpaka vikao vya kuwatishia kwa jeshi au mpaka mapinduzi ya wananchi yaje? Hii demokrasia ya Africa kwanini inakumbwa na Blockage kila Nchi? Hivi leo wanamzungumzia Gbagbo wakati Egypt wanamfukuza mzee mshauri wa AU. Hii kweli ni Irony ya aina yake kwamba madikteta wanafanya vikao wakati nchi zao wananchi hawawataki. Kuna haja ya kuwa na African Union? Ingekuwa vizuri AU iundwe endapo kuna demokrasia ya kweli Africa yote Ukichunguza viongozi wote na ndege zao zote na misafara yao yote huko Addis Ababa weekend hii utaona kwanini Wafrika hawataki? Wanaishi na kusafiri kama CEO's wa Makampuni ya High Grade Performances. Sasa tunaona kama watatoa statement zozote kuhusu Mapinduzi ya Tunisia na Egypt? Kwani si yanakuja katika zao tukianzia Tanzania...Bara la Africa linaongoza kwa vikao vya Wizi wa Demokrasia kulinganisha na Mabara yote Duniani. Solution sio vikao AU ni: Ajira kwa wananchi wao, Wizi na Rushwa kumalizika, Constitution zinazolinda Freedom of Speech and Express na kikubwa ni Rights of the people.
"Kikwete angekuwa mmoja wao Kiongozi kutokwenda Addis Ababa"
U.N. chief urges Africa to be firm against Gbagbo | News by Country | Reuters
UPDATE 1-Ivory Coast's Gbagbo is not president, ECOWAS says | News by Country | Reuters
Mubarak meets army as Obama urges reform | Reuters
"Kikwete angekuwa mmoja wao Kiongozi kutokwenda Addis Ababa"
U.N. chief urges Africa to be firm against Gbagbo | News by Country | Reuters
UPDATE 1-Ivory Coast's Gbagbo is not president, ECOWAS says | News by Country | Reuters
Mubarak meets army as Obama urges reform | Reuters