Hapo ni bakuli linapitishwa kiaina...Zile ahadi za kampeni akikaa Msoga atazitimizaje?Tuanze kuhesabu safari ya kwanza hiyo!
Huyu jamaa sijui vipi? yaani mara hii kabeba vinyago kavipeleka huko? atakaa lini apumzike awazie ya nchi yake? natamani barafu ingekuepo huko nako kindege chake kishindwe kupaaa ili apate sababu ya kutokurudi tena bongo, na sie tumchague rais wa ukweli
Really this guy is bad news,normally in this time of a year most prolific leaders don't leave their country coz it is festival season so they stay with family and friends and enjoy the holiday...huyu ni mfanyabiashara zaidi kuliko kiongozi!!
sasa ulitaka uende wewe? kuna rais anayeweza kufanya kazi peke bila kutembelea wenzie au kushirikiana na wengine? gombea wewe urais mwaka 2015 tukuone. mmekosa adabu kukaa mnamsakama rais mambo ya ajabu.Huyu jamaa sijui vipi? yaani mara hii kabeba vinyago kavipeleka huko? atakaa lini apumzike awazie ya nchi yake? natamani barafu ingekuepo huko nako kindege chake kishindwe kupaaa ili apate sababu ya kutokurudi tena bongo, na sie tumchague rais wa ukweli
Yuko kazini pia huko.
Hayo maneno aliyasema wapi? na lini. Acha ukabila. You're just a num....lhatumtaki huyo unayemsema rais wa kweli ni mchaga na mchaga ni haramu kuongoza nchi hii katika ngazi ya ukuu wa nchi. haya ni maneno ya mwenyekiti ndugu mchonga!!!!!!!!!
kikwete ndio rais wa kweli aliyekuwa na ujasiri wa kukataa kusign cheki ya billion moja ya wakatoliki mpaka wakamchukia.