Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Kikwete,Waziri Mkuu,IGP uongozi wenu utaheshimika sana kama utawala wa Sheria utafuatwa.Hatuwezi kuendelea kubebana, kuvumilina ,kwa upendo na Amani kama Haki za Msingi za Mtanzania hazipatikani.
Kikwete, Viongozi wako hawajaelewa kwamba watanzania wanaonyesha uvumilivu mkubwa sana kwa kupoteza na kunyimwa haki zao za Msingi.
Labda tu nisema wapo watu ambao kwa namna moja ama nyingine watakapo hitajika kutoa taarifa watazitoa bila uwoga na kwa uwazi. kinachotufanya tuvumilie haya,ni kwasababu tunajua ni harakati za kile tunachokitafuta ambacho ni Uhuru wa Kweli,na si Uhuru Tulionao sasa.
Kwa Taarifa za Waziri Mkuu na Viongozi wote ambao bado wanafanya ushabikii juu ya swala la kupoteza maisha ya watu kwa kupigwa Risasi na polisi hili siku yaja Hukumu yenu itaanikwa.Hakuna anayeleta Mfarakano Bali ni ukosefu wenu wa Busara na kutojiamini katika Lile Mnalolifanya.
IGP umekuwa ni mtu kigeugeu unaposhirikishwa mambo na taarifa nyingi umezipata na kushiriki mazungumzo mengi kwa njia ya simu hasa ya uvunjifu wa haki za msingi,Na hata swala la Arusha ukweli unahujua na hili hutalikwepa.
View attachment 22718
Hiki ni Chumba ulichoamuru wewe au yeyote aliyehusika niwekwe, chumba hiki hakikuwa Lock up,hivyo niliweza kupiga picha na kufuatilia matukio yote.IGP nilikuharifu hili kupitia msaidizi wako.
View attachment 22719
Kikwete na IGP hawa ni baadhi ya vijana wenu ambao kwa namna moja au nyingine kama Mahakama ambayo itakuwatayari kutenda haki ili wale walioumizwa na kupata majeraha makubwa hawa ni miongoni mwa mashahidi.Na si hivyo tu bado ushahidi upo na utazidi kutafutwa.
View attachment 22720
Huyu ni Muhudumu aliyetuhudumia majeruhi na watu kadhaa kufa mikononi mwake.
Kama Mnataka Amani ya kweli,kuweni wakweli na tendeni Haki,Amani siyo maneno ni tunda la Haki na Haki zinatolewa.
View attachment 22721
Maneno yenu yasiyo na ukweli yanavuruga Amani ndani ya mioyo ya wengi kwani bado wanamajerahaa na maumivu makali.
Rai yangu kwenu Viongozi kuweni wakweli kwani Ukweli upo na siku itafika na kuuweka Hadharani.
Vitisho vyenu na majigambo hayatalisaidia Taifa hili hata kwa wale wanaochangia hapa,Taifa litajengwa na wale walio wawazi na wakweli.
Kikwete, Viongozi wako hawajaelewa kwamba watanzania wanaonyesha uvumilivu mkubwa sana kwa kupoteza na kunyimwa haki zao za Msingi.
Labda tu nisema wapo watu ambao kwa namna moja ama nyingine watakapo hitajika kutoa taarifa watazitoa bila uwoga na kwa uwazi. kinachotufanya tuvumilie haya,ni kwasababu tunajua ni harakati za kile tunachokitafuta ambacho ni Uhuru wa Kweli,na si Uhuru Tulionao sasa.
Kwa Taarifa za Waziri Mkuu na Viongozi wote ambao bado wanafanya ushabikii juu ya swala la kupoteza maisha ya watu kwa kupigwa Risasi na polisi hili siku yaja Hukumu yenu itaanikwa.Hakuna anayeleta Mfarakano Bali ni ukosefu wenu wa Busara na kutojiamini katika Lile Mnalolifanya.
IGP umekuwa ni mtu kigeugeu unaposhirikishwa mambo na taarifa nyingi umezipata na kushiriki mazungumzo mengi kwa njia ya simu hasa ya uvunjifu wa haki za msingi,Na hata swala la Arusha ukweli unahujua na hili hutalikwepa.
View attachment 22718
Hiki ni Chumba ulichoamuru wewe au yeyote aliyehusika niwekwe, chumba hiki hakikuwa Lock up,hivyo niliweza kupiga picha na kufuatilia matukio yote.IGP nilikuharifu hili kupitia msaidizi wako.
View attachment 22719
Kikwete na IGP hawa ni baadhi ya vijana wenu ambao kwa namna moja au nyingine kama Mahakama ambayo itakuwatayari kutenda haki ili wale walioumizwa na kupata majeraha makubwa hawa ni miongoni mwa mashahidi.Na si hivyo tu bado ushahidi upo na utazidi kutafutwa.
View attachment 22720
Huyu ni Muhudumu aliyetuhudumia majeruhi na watu kadhaa kufa mikononi mwake.
Kama Mnataka Amani ya kweli,kuweni wakweli na tendeni Haki,Amani siyo maneno ni tunda la Haki na Haki zinatolewa.
View attachment 22721
Maneno yenu yasiyo na ukweli yanavuruga Amani ndani ya mioyo ya wengi kwani bado wanamajerahaa na maumivu makali.
Rai yangu kwenu Viongozi kuweni wakweli kwani Ukweli upo na siku itafika na kuuweka Hadharani.
Vitisho vyenu na majigambo hayatalisaidia Taifa hili hata kwa wale wanaochangia hapa,Taifa litajengwa na wale walio wawazi na wakweli.