Tukisema mmeolewa na CCM mtasema tuna kiwanda cha kutunga uongo? Kama na wewe unaunga mkono mipasho hii ya JK basi Tanzania cha cha Upinzani Chadema pekeecqapa kazi jk. chama kisichopenda maendeleo ni CHADEMA, JK weka wazi, na kiwanda cha uongo ni gazeti la TANZANIA DAIMA.