Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #41
1. Ulitaka mpk auawe ndio uamini?
2. Kama unadhani ule ni uongo, mbona hamkumshtaki?
3. Zilizoibiwa ni kura za Urais, ulitaka afike asimamie mwenyewe?
4. Hilo nalo ni kweli tupu. Na ndio maana wamefyata. Ya uongo kama yale ya Nape tayari yako mahakamani
5. Hii ya 5 ni mipasho kama hiyo tulioletewa toka ikulu. Sato Pra-sato!
Asante sana kwa kusaidia kumjibu Mingoi kwa wakati na kwa usahihi
Last edited by a moderator: